Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

No,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.

Kuna mmoja ni mjuaji sana kila thread yenye traffick kubwa yupo na anastori nyingi ambazo ukizisoma ni za kuunga tu ile awe relevant na kila uzi humu jf..Personally nimemgu-ignore/block.
Hahahaha hatar sana
 
Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.

Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,

Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.

Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?

Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?

Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Tofauti ya huyu jamaa na mabaharia wengine yeye alienda kusoma kihalali wakati wenzake wameenda kusaka maisha kibishi. Sasa analeta swaga za halali wakati watu walikua wanaishi kibishi...
 
Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.

Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,

Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.

Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?

Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?

Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. akanigongea miezi mitatu
 
Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. akanigongea miezi mitatu
Yaani kawaida ukiingia south wanakupia siku 90 hii nilienda 2019
20210421_165100.jpg
 
Mkuu fungulia uzi kama hutojali,?!
Iko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.

Nasema Tena PUMBAVU zao
 
Iko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.

Nasema Tena PUMBAVU zao
Ni akina nani hao bandika majina tuwalipue!
kawalete wakibisha walipue ...hahahaa
 
Iko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.

Nasema Tena PUMBAVU zao
Hahahaha
 
konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..

sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...

kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..

Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...

mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.​
Nakazia kidogo hapo mkuu.
Keagan mwenyewe anapatikana kwa kubahatisha halafu story fupi fupi,tukimuuliza maswali sana na akizingatia kuyajibu yote kama wanavyoomba hapa,story itakuwa haiishi jamani.
Kama ni inshu za kujifunza,tuulizeni maswali baada ya stori au twende pm huko.
 
Kuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
Hilo ndio bogus kabisa nalifahamu[emoji23][emoji23]mambo meengi tukianza kufuatiliana hawana kitu
 
Mimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
Wasome kama wengine, wachangie kama wengine sio kujitanua tanua kama mabata hapa
 
Wale wa kutushiana msuli bado tu hasira azijaisha au ndio kama alivyosema bwan mkubwa mtaa kwamba atasak mtu man to man to make respect?
 
Back
Top Bottom