andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Viwanja 60Pale V/60 minarani, Moro ndiyo nilipokulia huko ni original.
Kwa wakwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viwanja 60Pale V/60 minarani, Moro ndiyo nilipokulia huko ni original.
Mmmh hongeraViwanja 60
Kwa wakwe
Duh mkuu naweka Oda kabisa ya hicho kitabu ukitoa nishtue. Nisome manaake hata cha Le Mutuz nilikisoma hapo hivyo hivyo hakikunivutiamimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..
Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
Mi nasoma comments tu huwezi amini huyo Paulo hata sijui amezungumzia Nini, zaidi nimeona heading inasema South na wewe kunitaja Basi nimejikuta nimegandaMie hata siwezag soma stry za kinamna hii najiona kama utoto..lol..so.uko interested balaa..nimesoma episod 3 nikaona utoto..sijui why!
Ahsante mkuu.Mmmh hongera
Kwahiyo unataka kusema hujosoma episod zilizofuata?[emoji46][emoji46]Mie hata siwezag soma stry za kinamna hii najiona kama utoto..lol..so.uko interested balaa..nimesoma episod 3 nikaona utoto..sijui why!
Ah naonaga uvv balaa...nadhan kuna age na ageMi nasoma comments tu huwezi amini huyo Paulo hata sijui amezungumzia Nini, zaidi nimeona heading inasema South na wewe kunitaja Basi nimejikuta nimeganda
Nimeishia sijui kwa vaileth...afupishe aseme kama alitoboa au laKwahiyo unataka kusema hujosoma episod zilizofuata?[emoji46][emoji46]
Siwaelewagi mwenzenu hao watuMwarabu umpate wa Oman ..Ila mje kuishi bongo.
Labda kaamua kuandika Kitabu kabisa lakini ni ustaarabu atuambie tuNaona paul anaringa sana na uzi wake
Anaona tunashida sana au vp?
Kwanini atutese huyu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja nipaki nguo kwenye begi, nami nitafute pa kwenda.....
Hao watu wasumbufu ovyo Sana sitaki hata kuwasikiaHahahahahahhaah nacheka .inAkera ..miafrica ndo tulivyo
Had ukakamate gamba lako.umesulubika sanaHao watu wasumbufu ovyo Sana sitaki hata kuwasikia
Unawaelewa wapi negros ...Siwaelewagi mwenzenu hao watu
NimechekaDuh, ama kweli mbuzi hula urefu wake.. Yan sisi wengine tunajilipua kwenda Iringa ww ni South!?
Haya leta stori mwamba tujifunze jambo!
Ila mi naona hii fupi fupi ndo tamu, haichoshi yani!
Halafu kuna hadithi nyingi humu za kupikaAh naonaga uvv balaa...nadhan kuna age na age
Kwani mm nimesema ww ni fukara?!Soma vyema...panda huko.juu utaelewa mkuu...MIMI SIO FUKARA