Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

mimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..

Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
Duh mkuu naweka Oda kabisa ya hicho kitabu ukitoa nishtue. Nisome manaake hata cha Le Mutuz nilikisoma hapo hivyo hivyo hakikunivutia

Mie napenda sana mapambano ya namna hiyo sema ndo hivyo nimezaliwa Ilonga Msalabani nikajilipua Madibila na saizi Niko huku Mbingu ndo mwisho namalizia uzee
 
tupo sambamba
FB_IMG_1618853024199.jpg
 
Back
Top Bottom