Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Mimi ni mwanaume lakini niseme ukweli. Katika nchi zenye wanaume wa hovyo hovyo, wavivu na saa zote wanawaza ngono wanapoona mwanamke ni Tanzania. Tuko nyuma kweli kweli na hatujui dunia inakokwenda. Na hali imekolezwa zaidi na mitandao kuingia. Watu wana approach kila wanayedhani ni mwanamke kwenye mtandao. Comments zimejaa sexism za kijinga na zilizopitwa na wakati. Habari ya nzuri yenye mafundisho mazuri ikiambatana na picha ya mwanamke watu wanakimbilia ku-comment kuhusu yule mwanamke na kuacha habari. Hii ni sehemu nzuri sana ya kuingiza kipato kwa wale matapeli wanaijifanya ni wanawake wanaotafuta wanaume.
Nimeupenda ujumbe wako.

Afu utakuta mtu yuko serious kujibizana na mtu kama mimi.
Acha tuone mapungufu yao
 
Historia inaonyesha wazi kuwa kila Uzi unaovutia na ukawa unatembea kwa Kasi basi huwa Kuna ka kikundi Cha Malaya maarufu humu JF wanafahamika kwa qanaume wanaowajua wanawake ndo Mana huwa sio shida kuzijua code za Malaya humu wanakuset nawe unajileta kwama chatu na mbwa.

Na Hawa wauzaji wa jf ndo wanakwamisha nyuzi nyingi hasa zinazoenda fasta zisimaliziwe Anza na ule ulishawahi kukutana na nguvu za Giza njoo ule wa yule jamaa aliekuwa anahadithia mauaji ya kimbari funga kazi n Uzi wa parabora na stori ya maisha ya Geneva swiz na ule uliokuja kumuumbua
 
Historia inaonyesha wazi kuwa kila Uzi unaovutia na ukawa unatembea kwa Kasi basi huwa Kuna ka kikundi Cha Malaya maarufu humu JF wanafahamika kwa qanaume wanaowajua wanawake ndo Mana huwa sio shida kuzijua code za Malaya humu wanakuset nawe unajileta kwama chatu na mbwa.

Na Hawa wauzaji wa jf ndo wanakwamisha nyuzi nyingi hasa zinazoenda fasta zisimaliziwe Anza na ule ulishawahi kukutana na nguvu za Giza njoo ule wa yule jamaa aliekuwa anahadithia mauaji ya kimbari funga kazi n Uzi wa parabora na stori ya maisha ya Geneva swiz na ule uliokuja kumuumbua
Kweli kabisa bosi umenena ya kweli kabisa! Hivi moderators sijui hawawaoni au na wao ni wateja wao?!
 
Historia inaonyesha wazi kuwa kila Uzi unaovutia na ukawa unatembea kwa Kasi basi huwa Kuna ka kikundi Cha Malaya maarufu humu JF wanafahamika kwa qanaume wanaowajua wanawake ndo Mana huwa sio shida kuzijua code za Malaya humu wanakuset nawe unajileta kwama chatu na mbwa.

Na Hawa wauzaji wa jf ndo wanakwamisha nyuzi nyingi hasa zinazoenda fasta zisimaliziwe Anza na ule ulishawahi kukutana na nguvu za Giza njoo ule wa yule jamaa aliekuwa anahadithia mauaji ya kimbari funga kazi n Uzi wa parabora na stori ya maisha ya Geneva swiz na ule uliokuja kumuumbua
Umeongea point sana
 
Tatizo la watu humu JF wanapenda kusikia kile wanachotaka kusikia. Mtu ukiwa na mawazo kinzani kidogo japo ya kuwasaidia wanakuona kama umekuja kuharibu stori wakati hayo mawazo huenda yakawasaidia vijana ambao wengependa kujaribu bahati zao nje ya nchi. Story ya bwana Keagan Paul ni nzuri sana na inatoa darasa kwa vijana wenye ndoto za kutaka kusaka maisha nje.

Tatizo kuna details ambazo kuna watu humu huenda wakazichukua kama zilivyo bila kuchanganya na za kwao wakajikuta matatani. Naweza kusema bwana Keagan alikuwa na bahati sana tena sana, nadhani waliokaa South Africa watakubaliana na mimi kuwa alikuwa na bahati sana. Kitendo cha kuishi bila permit halafu unajiachia hivyo ni bahati sana kusurvive.

Kwa hiyo vijana wale mnaotaka kwenda huko muwe makini, bwana Keagan kama aliweza kujiachia bila permit msidhani maisha ndio yako hivyo, utadakwa dakika moja tu na kupelekwa sehemu inaitwa Lindela kusubiria kuwa deported. Kama nilivyosema kitendo cha kusafiri kwenda Lesotho wakati viza imeexpire ni bahati ya mtende na pia nampongeza sana kwa huo ujasiri.

Viza ikiexpire ukiwa ndani ya nchi ni kesi kubwa sana halafu akaamua kusafiri kwenda nchi nyingine wakati anajua hata kibali cha kuwemo nchi husika hana, huo ni ujasiri mkubwa sana na nachelea kumpa pongezi maana alikuwa kama anajiweka kwenye mazingira ya kurahisisha ukamatwaji wake.

Kwanza najiuliza walifikaje boarder ya Lesotho bila kukutana na roadblock hata moja na kukaguliwa ID zao? Pili yule immigration officer wa upande wa South Africa aligongaje exit stamp bila kumkamatisha kwa kosa la kuishi nchini illegally, najua amesema aliweka rand 300 kwenye passport.

Haya wakati wa kurudi aliwezaje kuingia tena SA wakati viza ilishaexpire? Bwana Keagan ukipata muda naomba uelezee kidogo kuhusu issue ya kutoka na kuingia tena South Africa wakati viza imeisha ili vijana wajifunze maana kuna wengine wanaweza kudhani kuishi bila vibali South Africa sio tatizo wakati ni tatizo kubwa sana linaloweza kuwapeleka jela.

Viza ikiexpire kisheria huwezi kurenew ukiwa ndani ya ardhi ya South africa hata kama unatoka SADC lazima utoke nje, na utapata misukosuko sana.
[emoji3447][emoji3447][emoji817][emoji817][emoji120][emoji120]
 
Yes gauteng nasikia ni noma. Mimi nilikua naishi mji mdogo nje ya capetown unaitwa somerset west. Pale immigration walikua sio wakali sana enzi hizo..labda sasa
Tatizo ukiwa na urafiki nao bila dalili pendwa kuzionesha hawakosi maneno
Mara ohhh yule sio mwanaume kamili ,inawezekana viungo vyake havifanyi Kazi nani anapenda fedheha hizo mkuu
 
Tatizo la watu humu JF wanapenda kusikia kile wanachotaka kusikia. Mtu ukiwa na mawazo kinzani kidogo japo ya kuwasaidia wanakuona kama umekuja kuharibu stori wakati hayo mawazo huenda yakawasaidia vijana ambao wengependa kujaribu bahati zao nje ya nchi. Story ya bwana Keagan Paul ni nzuri sana na inatoa darasa kwa vijana wenye ndoto za kutaka kusaka maisha nje.

Tatizo kuna details ambazo kuna watu humu huenda wakazichukua kama zilivyo bila kuchanganya na za kwao wakajikuta matatani. Naweza kusema bwana Keagan alikuwa na bahati sana tena sana, nadhani waliokaa South Africa watakubaliana na mimi kuwa alikuwa na bahati sana. Kitendo cha kuishi bila permit halafu unajiachia hivyo ni bahati sana kusurvive.

Kwa hiyo vijana wale mnaotaka kwenda huko muwe makini, bwana Keagan kama aliweza kujiachia bila permit msidhani maisha ndio yako hivyo, utadakwa dakika moja tu na kupelekwa sehemu inaitwa Lindela kusubiria kuwa deported. Kama nilivyosema kitendo cha kusafiri kwenda Lesotho wakati viza imeexpire ni bahati ya mtende na pia nampongeza sana kwa huo ujasiri.

Viza ikiexpire ukiwa ndani ya nchi ni kesi kubwa sana halafu akaamua kusafiri kwenda nchi nyingine wakati anajua hata kibali cha kuwemo nchi husika hana, huo ni ujasiri mkubwa sana na nachelea kumpa pongezi maana alikuwa kama anajiweka kwenye mazingira ya kurahisisha ukamatwaji wake.

Kwanza najiuliza walifikaje boarder ya Lesotho bila kukutana na roadblock hata moja na kukaguliwa ID zao? Pili yule immigration officer wa upande wa South Africa aligongaje exit stamp bila kumkamatisha kwa kosa la kuishi nchini illegally, najua amesema aliweka rand 300 kwenye passport.

Haya wakati wa kurudi aliwezaje kuingia tena SA wakati viza ilishaexpire? Bwana Keagan ukipata muda naomba uelezee kidogo kuhusu issue ya kutoka na kuingia tena South Africa wakati viza imeisha ili vijana wajifunze maana kuna wengine wanaweza kudhani kuishi bila vibali South Africa sio tatizo wakati ni tatizo kubwa sana linaloweza kuwapeleka jela.

Viza ikiexpire kisheria huwezi kurenew ukiwa ndani ya ardhi ya South africa hata kama unatoka SADC lazima utoke nje, na utapata misukosuko sana.
hivi watanzania tunahitaji visa kuingia south africa? au unazungumzia passport!
 
Ww sio hadhi yangu binti nikisema nikutane na ww utajificha kwa aibu au kuzima simu kabisa ww endelea na hao wanakufata PM huko mm nipo mbali sana na ww
Mwanaume hajibishani na mwanamke zaidi ya mara moja.piga kimya kama vipi.

Na wewe unachangia kuharibu uzi kama unavyolalamikia wengine kuharibu uzi.

Tu focus kwenye point za msingi ili wengine wajifunze.
Kama hakuna point tuwe wasomaji inatosha.
Kama kujazia nyama tufanye kama anavyofanya konda msafi inasaidia kujifunza kitu.
 
Back
Top Bottom