Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sent using Tecno f1Mwaka 1985 Rais wa Uganda Milton Obote alikuwa amepinduliwa na akina somebofy Okelo
Sasa huyu Obotealikuwa Rafiki wa Nyerere ,akakimbilia Tanzania kunusuru maisha yake.
Haikuwa mara yake ya kwanza kupinduliwa na kukimbilia bongo.huko nyuma alishapinduliwa na idd Amini kama sikosei
Safari hii akiwa nchini alikuwa jirani yetu Chole Road nyumba ya pili kutoka kwetu.nyumba ilikuwa na ulinzi mkali sana ila binti yake alikuwa akija kucheza kwetu,baba yake jilimuona siku moja tu akipiga mswaki nje,mzee mmoja wa miaka kama 60 hivi.
Binti yake huyo alikuja kuwa mpenzi wangu bahati mbaya waloondoka nchini ba sikuwahi kuwadoliana nae mpaka leo bila shaka atakuwa mama mtu mzima na watoto au wajukuu.
Miaka michache baadae Museveni akachukua nchi nikiwa balehe ya pili mpaka sasa nimezeeka.
Penzi la yule binti wa Obote nimelikumbuka leo baada ya kukutana na mama mmoja wa kisambaa wanafanana kweli nikidhani ni yeye
Milton Obote was married to Miria Obote. They had five children: Jimmy Akena, Tony Akaki, Edward Stanly Engina, Ben Obote, and Lucy Akaki.Pauline
Kwamba? Hebu ongeza sauti sijasikiaMwaka 1985 Rais wa Uganda Milton Obote alikuwa amepinduliwa na akina somebofy Okelo
Sasa huyu Obotealikuwa Rafiki wa Nyerere ,akakimbilia Tanzania kunusuru maisha yake.
Haikuwa mara yake ya kwanza kupinduliwa na kukimbilia bongo.huko nyuma alishapinduliwa na idd Amini kama sikosei
Safari hii akiwa nchini alikuwa jirani yetu Chole Road nyumba ya pili kutoka kwetu.nyumba ilikuwa na ulinzi mkali sana ila binti yake alikuwa akija kucheza kwetu,baba yake jilimuona siku moja tu akipiga mswaki nje,mzee mmoja wa miaka kama 60 hivi.
Binti yake huyo alikuja kuwa mpenzi wangu bahati mbaya waloondoka nchini ba sikuwahi kuwadoliana nae mpaka leo bila shaka atakuwa mama mtu mzima na watoto au wajukuu.
Miaka michache baadae Museveni akachukua nchi nikiwa balehe ya pili mpaka sasa nimezeeka.
Penzi la yule binti wa Obote nimelikumbuka leo baada ya kukutana na mama mmoja wa kisambaa wanafanana kweli nikidhani ni yeye
Baba mkweMilton Obote was married to Miria Obote. They had five children: Jimmy Akena, Tony Akaki, Edward Stanly Engina, Ben Obote, and Lucy Akaki.
![]()
Milton Obote (1925-2005) •
Milton Apollo Obote was the first Prime Minister and second President of Uganda. Obote was born in the village of Akoroko in Uganda on December 28, 1925. He was the third of nine children born to his parents who were farmers. Obote was from the … Read MoreMilton Obote (1925-2005)www.blackpast.org
Unamuumbua ShaibuMilton Obote was married to Miria Obote. They had five children: Jimmy Akena, Tony Akaki, Edward Stanly Engina, Ben Obote, and Lucy Akaki.
![]()
Milton Obote (1925-2005) •
Milton Apollo Obote was the first Prime Minister and second President of Uganda. Obote was born in the village of Akoroko in Uganda on December 28, 1925. He was the third of nine children born to his parents who were farmers. Obote was from the … Read MoreMilton Obote (1925-2005)www.blackpast.org
Kaka umetisha🤣🤣🤣🤣😂😂 Chai haina sukari hiiMwaka 1985 Rais wa Uganda Milton Obote alikuwa amepinduliwa na akina somebofy Okelo
Sasa huyu Obotealikuwa Rafiki wa Nyerere ,akakimbilia Tanzania kunusuru maisha yake.
Haikuwa mara yake ya kwanza kupinduliwa na kukimbilia bongo.huko nyuma alishapinduliwa na idd Amini kama sikosei
Safari hii akiwa nchini alikuwa jirani yetu Chole Road nyumba ya pili kutoka kwetu.nyumba ilikuwa na ulinzi mkali sana ila binti yake alikuwa akija kucheza kwetu,baba yake jilimuona siku moja tu akipiga mswaki nje,mzee mmoja wa miaka kama 60 hivi.
Binti yake huyo alikuja kuwa mpenzi wangu bahati mbaya waloondoka nchini ba sikuwahi kuwadoliana nae mpaka leo bila shaka atakuwa mama mtu mzima na watoto au wajukuu.
Miaka michache baadae Museveni akachukua nchi nikiwa balehe ya pili mpaka sasa nimezeeka.
Penzi la yule binti wa Obote nimelikumbuka leo baada ya kukutana na mama mmoja wa kisambaa wanafanana kweli nikidhani ni yeye
Unamuumbua mkuu sasa🤣🤣🤣Milton Obote was married to Miria Obote. They had five children: Jimmy Akena, Tony Akaki, Edward Stanly Engina, Ben Obote, and Lucy Akaki.
![]()
Milton Obote (1925-2005) •
Milton Apollo Obote was the first Prime Minister and second President of Uganda. Obote was born in the village of Akoroko in Uganda on December 28, 1925. He was the third of nine children born to his parents who were farmers. Obote was from the … Read MoreMilton Obote (1925-2005)www.blackpast.org
Chai imezidi MajaniAmeniumbuaje hapo,
Ya kwanza kitu kinatoka cha njano kama yai la kienyeji ya pili kinatoka cheupe kama yai la kisasa mda mwingine maji kabisa 😆🍻Balehe ya pili ndio inakuwaje?