Nilivyomchangia pesa ya harusi mpenzi wangu bila kujua

Nilivyomchangia pesa ya harusi mpenzi wangu bila kujua

Na ninavyowajua wapemba anavyopelekewa moto huko nina uhakika hata muda wa kukuwaza hanao, pole sana imeisha hiyo, wewe ulipata bahati ukaichezea, siku hizi kupata mwanamke anaehitaji kuolewa bila ya kutaka msaada wa kupata ahueni ya maisha haiwezekani, ni wanawake wachache wanaohitaji ndoa siku hizi bila kujali maslahi, nakushauri tu humu jf hakuna demu anaetaka kuolewa, usije ukajichanganya ukadhani utapa mtu humu big no.
 
Jirani nimeona umecheka hebu samaraizi 🤣
Jirani mleta mada alichelewa chelewa akakuta mwana sio wake.
Siku moja kabla ya harusi alipigwa kizinga 200k, kesho yake anapiga simu inapokelewa na mtu ndio anapewa taarifa za mtoto mkali kuolewa siku hiyo.
 
Jirani mleta mada alichelewa chelewa akakuta mwana sio wake.
Siku moja kabla ya harusi alipigwa kizinga 200k, kesho yake anapiga simu inapokelewa na mtu ndio anapewa taarifa za mtoto mkali kuolewa siku hiyo.
Whaaaaat..????!!!
Naomba bi harusi anywe hennessy bill kwangu 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Na ninavyowajua wapemba anavyopelekewa moto huko nina uhakika hata muda wa kukuwaza hanao, pole sana imeisha hiyo, wewe ulipata bahati ukaichezea, siku hizi kupata mwanamke anaehitaji kuolewa bila ya kutaka msaada wa kupata ahueni ya maisha haiwezekani, ni wanawake wachache wanaohitaji ndoa siku hizi bila kujali maslahi, nakushauri tu humu jf hakuna demu anaetaka kuolewa, usije ukajichanganya ukadhani utapa mtu humu big no.
Umewajuaje Sir wanaume wa kipemba kuwa wanapeleka moto? Au na wewe ni Mpemba?
 
Wala usijal kijana ,wewe usifute namba zake ,fanya mishe zako tu polepole ,ni swala la mda hiyo ndoa itawashinda kma ni suala la kuichakata tu ,utaletewa uichakate vya kutosha mpka uikinai mwenyewe.
 
Back
Top Bottom