Nilivyomchangia pesa ya harusi mpenzi wangu bila kujua

Wala usijal kijana ,wewe usifute namba zake ,fanya mishe zako tu polepole ,ni swala la mda hiyo ndoa itawashinda kma ni suala la kuichakata tu ,utaletewa uichakate vya kutosha mpka uikinai mwenyewe.
Kuna ukweli Fulani...

Alafu mchunguu...
 
Mpaka saizi mzazi ndiyo anaamua mtoto aolewe na nani?
 
Nilikua na mpenzi wangu mashallaah navimba naye kitaa.
Tupate Maneno ya Wadhamini na Wimbo kutoka kwa BizMan - Ametoroshwa Mpenzi wangu

Tutarudi studio Muda sio mrefu
 
Wewe ulikuwa ukakunywa kindi bure acha kabisa amejua kukukomoa bolobabake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…