Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

"Hapo ni upalestina tu unyama unyama"

Hakuna kusurrender 💪
 
Mtoa mada umeshawahi kusimama mahakamani kweli wewe?, eti Hakimu akakuplease mbona huwa sio taratibu kwa kauli zako hapo mahakamani na utovu wa kutii mahakama ungefungwa japo wiki mbili, sijui kama kweli unaifahamu korti wewe.
Katafute wakukukuna marinda!
 

Dah, ukipewa contact na rafiki ya kukamilisha mambo yako kama hivyo ya Hakimu, hata akifanya siyo unakuwa mwelewa kulinda heshima ya rafiki yako, umekuwa mbinafsi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…