Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Dah, ukipewa contact na rafiki ya kukamilisha mambo yako kama hivyo ya Hakimu, hata akifanya siyo unakuwa mwelewa kulinda heshima ya rafiki yako, umekuwa mbinafsi sana.
Kaka mbinafsi kivipi? Ebu soma kuelewa sio kusoma kama kujibu mtihani,hakimu alikuwa anazingua kwangu kadaka na kule kadaka na mzani umeelemea kule je nilinde tu heshima? Siko hivyo na kiufupi ktk simu yangu nina contact za wana si chini ya 500+ na robo 3 ziko active,ukimuona mtu ana contact za hvyo jua ni GOOD BOY!
 
Alipelekwa kwa mganga😂😂😂😂😂😂😂!
Watuuu wana visaa nyiee hahaa
 
Umefanya vizuri hakuna kupoteza mudaaaa...
Usifanye usichopenda kufanyiwa,nakerekwa na kutokupata mwendelezo kwa wakati ktk thread nyingi ingawa si mzuri ktk uandishi lakini nimewaone namna gani ya kuleta thread hapa!
 
"Kasangu ndugu unasikia hayo maneno? We unayaona yanatoka tu mdomoni na unadhani kutakuwa hakuna utekelezaji? Please mpe pesa yake tusije kuingia matatizoni wote,"🤣🤣🤣 Muheshimiwa hakutaka fedhehaa😂😂😂😂! Ukute alishakula rushwa kadha wa kadha hapoo khakha!!
 

Loyality, umembebesha rafiki yako zigo zito sana, huo ni ubinafsi, ungeweza pata matokeo mazuri kwa kuwa civil tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…