Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Hakimu gani uyo Ana njaa hivyo,elfu 50?hakimu?
Tuliza rinda kala laki yule bwege,nimemtangulizia 50 bdae uko mbele akamaliziwa,hawa kama marefa tu ushamba wako ndio utatoa kibunda kikubwa,wewe mpya nini mjini? Rushwa kwani inatakiwa utoe bei gani? Nadai M3 nitoe M?
 
Hadi hao watu wana hizo mambo zanπŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½ kumbe ???😳😳!
Duuh!!
 
Kichaka chao cha upigaji na ndio yule hakimu hadi leo amepigwa ban kwa rushwa!
 
Tm
Loyality, umembebesha rafiki yako zigo zito sana, huo ni ubinafsi, ungeweza pata matokeo mazuri kwa kuwa civil tu
umesoma mpaka mwisho? Nilichokitaka ndicho nilichokipata na huyo mshkaji wangu juzi tu hapa kanitumia mafuta ya alizeti vidumu vi3,hakuna ovu lolote lililotokea,adui ni yule hakimu wa pale Madafu ndugu soma mpaka mwisho haki yangu imepatikana hayo unayoyahubiri sasa ndio yangenigharimu,
 
Loyality, umembebesha rafiki yako zigo zito sana, huo ni ubinafsi, ungeweza pata matokeo mazuri kwa kuwa civil tu
Ebu shauri katika hujuma zote nilizokuwa natendewa ungekuwa wewe ungefanyaje? Tena nilimshirikisha kabla sijamfata yule hakimu,mwanangu yule yuko peace sana tena kuna deal ananipa yeye hadi sasa,napiga pesa na maisha yanaenda! Yule wa dar hakutakiwa kutendewa wema na kama umesoma hadi mwisho hv sasa kasimamishwa kazi kwa tatizo hilo hilo je kisa ni mimi?
 
Kweli matapeli wapo wengi ila unaongeza risk kwa kusainia saiti na mihuri hapo hapo.

Sainisha mikataba kwenye ofisi inayoeleweka ya mtendani nk itakusaidia hata ukiwa na kesi....
Usijidanyanye ndugu, nunua surveyed plot na uhakiki arthi hiyo ndio solution
 
Tuliza rinda kala laki yule bwege,nimemtangulizia 50 bdae uko mbele akamaliziwa,hawa kama marefa tu ushamba wako ndio utatoa kibunda kikubwa,wewe mpya nini mjini? Rushwa kwani inatakiwa utoe bei gani? Nadai M3 nitoe

Tuliza rinda kala laki yule bwege,nimemtangulizia 50 bdae uko mbele akamaliziwa,hawa kama marefa tu ushamba wako ndio utatoa kibunda kikubwa,wewe mpya nini mjini? Rushwa kwani inatakiwa utoe bei gani? Nadai M3 nitoe M?
Namuongelea hakimu kua na njaa,Tena Hadi anakufuata,Tena unamrushia kwenye simu,uyo hakimu njaa yake ni hatari ,siongelei rushwa ,usijione mjanja hakuna asiyejua hayo,una tabia za kishoga ,jiangalie ,usijibu ambavyo ujaulizwa ,unless umedanganya ndio maana unajishtukia.scumbarg
 
Ndugu zangu majina yote niliyoyataja humu hakuna hata la kutunga yote majina ya wahusika sahihi na kama nadanganya nenda pale kivule njia panda ya shule ulizia huyo jamaa JUMA KASANGU! Ni mbwa ni mbwa ni mbwa sana Hakuna kilichoongezwa hapa thats why umeona thread imekwenda smooth ,nawashukuru sana kwa mshikamano wenu na ntaleta nyingine kuelezea safari yangu ya kwenda South 2008,hatari na nusu na robo
 
Hongera sana mkuuu! Ungekubali kupokea kidogo kidogo ingekua mlolongo tena!!
Big up πŸ’ͺπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘!
 
Ndugu zangu majina yote niliyoyataja humu haktwna hata la kutunga yote majina ya wahusika sahihi na kama nadanganya nenda pale kivule njia panda ya shule ulizia huyo jamaa Juma Kasangu! Hakuna kilichoongezwa hapa thats why umeona thread imekwenda smooth ,nawashukuru sana kwa mshikamano wenu na ntaleta nyingine kuelezea safari yangu ya kwenda South 2008
soma uelewe usinilazimishe nitukane,hakimu wapi kanifata? Kaja mtaa Arusha gym hapo kanifata? Dah ebu kaa kimya soma thread uinjoy achana na mambo madogo madogo ndugu
 
Duhh nadhani hio ya kutaja majina halisi haijakaa vizuri mkuu bora ungefucha majina!
 
Hilo eneo nimeishi sana , nadhani ni miongoni mwa maeneo ambayo watu wengi wamedhulimiwa viwanja kwa hapa Dar ila siku hizi mambo safi.
 
Niliuziwa kiwanja kwa njia za utapeli, nikaitafuta haki yangu polisi mpaka mahakamani na hatimaye niliipata haki yangu licha ya rushwa iloyotamalaki katika vyombo husika.


The whole story in few words .😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…