Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Mambo yakukatakata tamaa ni tatizo hapo utaokoa na wengine wengi

Yule mkuu wa kituo nae au ndio mambo mengi kinachouma watu kama hawa wanafahamika kabisa ila..
Mkuu wa pale Staki shari hakuwa tatizo katika suala langu,tatizo walikuwa watendaji wake wa chini ndugu
 
Iko wapi? Uwe unanitagia hapo chini yake 😂💃
Unataka niwe nakuletea kabisa eehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…