Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hii sory tamu sana kuisoma huku unaelekea some where uko kwenye bus, mana unakuwa huna time na mtu.
 
Asante sana
 
Millions 50, mnapewa 1.9m mgawane 2 people . Utajuta
 
Umughaka
1.Kwanza hongera wewe ni muandishi mzuri Sana, hebu fikiria kuiendeleza hiyo karama kajipige hata kicourse Cha creative writing uanze kuandika hadithi zako Kaka upige hela zako.
2.Hongera wewe ni mpambanaji na ni mvumilivu Sana nimefuatilia story zako zote mbili hii na ile ya wifi Monica lol😄😄 na una akili pia, shule uzinzi ndio ulikuponza.
3.kwenye hii story yako nimejifunza kuwa kwenye haya maisha usiamini kila unachokiona,au kukisikia hasa linapokuja suala la kipato na utafutaji wa pesa, maana pale watu wanakuona mpiga debe unanawiri kila siku kumbe Kuna behind the scenes 😃,au yule shemeji yako watu wanaona tu biashara ya uvuvi inalipa,kumbe watu wanapulizia mambo motivational speakers wanatumia story zenu kuwapa vijana depression kitaa, mtu anakimbilia kuuza mitumba Ila hela haioni halafu anawaona umughaka na mshikaji wake haooo Gold crest Mara visafari vya hapa na pale Mara Uganda kufunga mzigo kumbe nyuma ya pazia Kuna mengi.
4.Cheti chako cha form four kilikua kizuri tu,haukuwahi kufikiria kujiendeleza? Au ndo ukishashika pesa Tena unaona huwezi kupoteza muda kusoma.
All in all story zako zinafurahisha na kufundisha Sana kila heri kwenye mapambano.Nasikia Huko daslamu Kuna Askari anakagua bodaboda hata akiona imepaki ndani ya geti anagonga anaingia kuikagua na hajawahi kukuta pikipiki Haina kosa😄😄 naye ni mmoja ya wapambanaji
 
[emoji433][emoji433][emoji433][emoji433]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…