Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hata mimi nimeshangaa sana. "^Uko wapi ? Njoo nyumbani."
 
Wewe ndiye uliyeniquote, sikuwa naongea na wewe, guess what, mwenye shobo ni nani kama siyo wewe?

Kuanzia sasa naku-ignore, wewe ni mjinga na unaonekana ukielekezwa na wakubwa wako hujifunzi.
Ninachofanya ni kukueleza tu kwa wema kuwa utaposwa acha shobo bwamdogo,acha kudandia usiyoyajua
 
Umughaka unacheza mchezo wa hatari sana, kuendelea kubaki sirare au tarime unatafuta matatizo makubwa zaidi, ulipojithibitishia polisi bado wanakuwinda ilikua uhame kabisa mkoa, Piga ruti ndefu kajichimbie zako Chitogholi- Tandahimba Mkoani Mtwara.
 
Wewe ndiye uliyeniquote, sikuwa naongea na wewe, guess what, mwenye shobo ni nani kama siyo wewe?

Kuanzia sasa naku-ignore, wewe ni mjinga na unaonekana ukielekezwa na wakubwa wako hujifunzi.
Uliingilia majibizano yangu mimi na yule mwanamke mwenzako ndio maana nakueleza ukweli choko wewe
 
Mzee Umughaka hongera sana asee umebarikiwa sana kipaji cha kusimulia
 
Umenikumbusha kwetu. Bunda nyasura, machimbo yaliwahi kuibuka hapo Nyasana
 
Hukumwachia mama hata hela kidog0?
 
Woyoo! Mzigo huu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…