Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Huyu ni wewe, Nice workout mkuu.

Au ndiyo unataka useme nimechukua picha mtandaoni, Tupo wengi mkuu.

Rudia kufananisha tena, Hao jamaa zako wako very soft, kwanza hawana ndevu, Angalia vizuri picha yangu hiyo hapo 👇👇View attachment 3179175
Hivi Kaka jambawazi nikitaka na Mimi nikate tumbo ,yaani kitambi kipotee ,hii mikono ijikate alafu niwe na tupingiri kwenye tumbo nifanye nini kikubwa nisiutese mwili wangu
 
Hakya Mungu utajiuliza nani kakuchoma hutoamini😆😆 sema bwana jambo lolote lenye circle kudakwa lazima.
Sure..kuna mambo ukishaamua, basi be a standalone man. Siri yako wewe, mipango ni wewe, utekelezaje ni wewe. Kama kuna ulazimia wa wengine bas watumie pasipo wao kujua wanatumika.
Utakaa salama kwa muda mrefu sana
 
Back
Top Bottom