Hana maajabu huyoSijaelewa hata, huyu boda alikua anaiba nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana maajabu huyoSijaelewa hata, huyu boda alikua anaiba nini?
The NUN IIIWe jamaa...
View attachment 3179261
Achana na Mimi wewe😂🙏Rudia kosa mara ya mwisho 😆.
mwana jf gani wewe huna gariHahahaha mkuu umenifanya nicheke kwe usafi wa umma
Hivi Kaka jambawazi nikitaka na Mimi nikate tumbo ,yaani kitambi kipotee ,hii mikono ijikate alafu niwe na tupingiri kwenye tumbo nifanye nini kikubwa nisiutese mwili wanguHuyu ni wewe, Nice workout mkuu.
Au ndiyo unataka useme nimechukua picha mtandaoni, Tupo wengi mkuu.
Rudia kufananisha tena, Hao jamaa zako wako very soft, kwanza hawana ndevu, Angalia vizuri picha yangu hiyo hapo 👇👇View attachment 3179175
Ndivyo ilivyo. Deals nyingi, hata za ten percent hujadiliwa na kufungwa usiku.Inasemekana usiku kuna dili nying sana za hela ndefu kinoma ila tu ni illegal
Sure..kuna mambo ukishaamua, basi be a standalone man. Siri yako wewe, mipango ni wewe, utekelezaje ni wewe. Kama kuna ulazimia wa wengine bas watumie pasipo wao kujua wanatumika.Hakya Mungu utajiuliza nani kakuchoma hutoamini😆😆 sema bwana jambo lolote lenye circle kudakwa lazima.
hii siyo kweliSure..kuna mambo ukishaamua, basi be a standalone man. Siri yako wewe, mipango ni wewe, utekelezaje ni wewe. Kama kuna ulazimia wa wengine bas watumie pasipo wao kujua wanatumika.
Utakaa salama kwa muda mrefu sana
Ndio tunakuambia sisi sasa. Kubali kataa, ni ww tuhii siyo kweli