Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Hivi Kaka jambawazi nikitaka na Mimi nikate tumbo ,yaani kitambi kipotee ,hii mikono ijikate alafu niwe na tupingiri kwenye tumbo nifanye nini kikubwa nisiutese mwili wangu
 
Hakya Mungu utajiuliza nani kakuchoma hutoamini😆😆 sema bwana jambo lolote lenye circle kudakwa lazima.
Sure..kuna mambo ukishaamua, basi be a standalone man. Siri yako wewe, mipango ni wewe, utekelezaje ni wewe. Kama kuna ulazimia wa wengine bas watumie pasipo wao kujua wanatumika.
Utakaa salama kwa muda mrefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…