makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Unajua wewe ni ndugu yangu? Siku Ile ulinisaidia kunitafsiria kinglezaKwa ufupi ni jamaa aliitwa mwizi na kuponea chupuchupu baada ya kuingia nyumba ya mjumbe na mjumbe kupiga simu polisi kuja kumchukua jamaa, alivyofika kituo cha polisi akatoa rushwa akaachiwa 😎
Leo umenifupishia hii habari, Hakika wewe ni Mtu mwema sana! Mungu akubariki.
Aisee Pole sana kwa huyo jamaa!