Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

Hao majini wasafi aiseeh..wamekupiga wembe ndio wapitishe rungu
Inaonekana hupunguzi msitu bibie..!

Kwanza inaendeleaje hiyo?majini 51 hawakupunguza mileage?
 
Uongo. Uongo huo ni uongo kabisaaa,
Nb: sijamalizia kusoma story yako yote.
 
Mleta Uzi unasikia Raha gani kuleta stori ya uongouongo hapa?eti majini 51 yamekufa dada analilia majini yake we jini moja tu mziki wake unaujua wewe?acheni kuuchoresha ukristo aisee
 
Sasa wewe umepewa msaada wa kunyolewa zivu unalalamika? Next time jitahidi uwe msafi ili wakija tena wakute mazingira masafi. Halaf na mzungu anaingilia wapi hapo km mpka sasa mko na jamaa mlokole???
 
Back
Top Bottom