Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somo la mtoa mada kweli limeniingia na kulielewa. Ila sio matapishi yako (negativity ulizonazo)Sio huna haja ya kubishana SEMA SoMo limekuingia....
Hongera kwa kuelewa.Somo la mtoa mada kweli limeniingia na kulielewa. Ila sio matapishi yako (negativity ulizonazo)
Kuokoka ni lazima1. Hotelia katika hoteli gani (si lazima saana kujibu, itapendeza zaidi ukijibu)
2. Ulikuwa unaishi sehemu gani?
3. Kanisa la wapi uliloenda kupokea uponyaji.
4. Ilikuwa mwaka upi?
Msitufanye tuokoke kwa chai.
Jemima Mrembo
Siku ukinyolewa vuzi ndio utajua hii sio chai.Msitufanye tuokoke kwa chai.
Umeniwahi ..hii story ingekuwa mazingira ya Mbeya sawa ... Zanzibar Sam , anagombewa na wenyeji ... Chai ya moto sana hii..1. Hotelia katika hoteli gani (si lazima saana kujibu, itapendeza zaidi ukijibu)
2. Ulikuwa unaishi sehemu gani?
3. Kanisa la wapi uliloenda kupokea uponyaji.
4. Ilikuwa mwaka upi?
Msitufanye tuokoke kwa chai.
Jemima Mrembo
Hivi hujui kuwa wajeda walioko zenji ni kina Christopher, David, Kelvin, Fred na wengineo waendao kusali church?Zanzibar Sam , anagombewa na wenyeji ... Chai ya moto sana hii..
Huyo mwanga akijichanganya nimempiga PUMBUSiku ukinyolewa vuzi ndio utajua hii sio chai.
Acha kuota ndoto wewe dogoHuyo mwanga akijichanganya nimempiga PUMBU
Unadhani natania, mie wachawi hawaji getto kizembe zembe, ai wanaingia kinyume nyume, nawagandishaga nawachapa nao.Acha kuota ndoto wewe dogo
Unadhani natania, mie wachawi hawaji getto kizembe zembe, ai wanaingia kinyume nyume, nawagandishaga nawachapa nao.
Ongezea maziwa 😂🤣This is strong tea wallah 🤣
Strong tea huwa inajitosheleza haihitaji maziwaOngezea maziwa 😂🤣
Sasa mtoto wa kiume unaombaje picha za sehemu za siri za mwanaume mwenzio!??Kwa mara ya kwanza , uzi mpaka post ya 93 watu hawajaomba picha...sio kawaida kwa watu wa humu.
Moja ushasema huko hao sio wenyeji ,,, pili Kwahiyo wanawake wa kipemba wanawanga'ngania...Hivi hujui kuwa wajeda walioko zenji ni kina Christopher, David, Kelvin, Fred na wengineo waendao kusali church?
Wengi wao ni wenyeji wa Highland South zone & Lake zone na wanapendwa kinoma sana na hivi videmu vya zenji coz huvipelekea moto hadi vinatoa miguno ya..... "mtumeee......."
Hakuna chai hapa.... tembea ujionee usingoje kuambiwa.
Moja ushasema huko hao sio wenyeji ,,, pili Kwahiyo wanawake wa kipemba wanawanga'ngania...