Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

majini 50 yamejilia uroda/yame mchafua mlokole na yakam nyoa vuzi. hayamajini yanaonekana yapo smart sana yamemshinda Hadi mjeshi kwenye suala la usafi.
 
Katika watu wanaoongoza kufanyiwa advertisement hapa duniani wa kwanza ni mungu
 
1. Hotelia katika hoteli gani (si lazima saana kujibu, itapendeza zaidi ukijibu)
2. Ulikuwa unaishi sehemu gani?
3. Kanisa la wapi uliloenda kupokea uponyaji.
4. Ilikuwa mwaka upi?

Msitufanye tuokoke kwa chai.

Jemima Mrembo
Umeniwahi ..hii story ingekuwa mazingira ya Mbeya sawa ... Zanzibar Sam , anagombewa na wenyeji ... Chai ya moto sana hii..
 
Zanzibar Sam , anagombewa na wenyeji ... Chai ya moto sana hii..
Hivi hujui kuwa wajeda walioko zenji ni kina Christopher, David, Kelvin, Fred na wengineo waendao kusali church?

Wengi wao ni wenyeji wa Highland South zone & Lake zone na wanapendwa kinoma sana na hivi videmu vya zenji coz huvipelekea moto hadi vinatoa miguno ya..... "mtumeee......."

Hakuna chai hapa.... tembea ujionee usingoje kuambiwa.
 
Hivi hujui kuwa wajeda walioko zenji ni kina Christopher, David, Kelvin, Fred na wengineo waendao kusali church?

Wengi wao ni wenyeji wa Highland South zone & Lake zone na wanapendwa kinoma sana na hivi videmu vya zenji coz huvipelekea moto hadi vinatoa miguno ya..... "mtumeee......."

Hakuna chai hapa.... tembea ujionee usingoje kuambiwa.
Moja ushasema huko hao sio wenyeji ,,, pili Kwahiyo wanawake wa kipemba wanawanga'ngania...
 
Kumbe zanzibar maana Arusha akunaga wachawi labda km unakaa kikwakwaru
 
Back
Top Bottom