Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

Nilivyonyolewa nywele zote sehemu za siri na wachawi usiku nikiwa nimelala

Pole. Kama hawakula... Mshukuru Mungu !
 
Bujibuji X Mas Tree.jpg


Viva Xmas
 
We nae utakuja kugongwa nyuma Mambo ya kudandia kwa mbele Mambo yasokuhusu.
Aisee umeshupaza shingo na mishipa ya akili kusema stroy ni ya uwongo.


Siye wasomaji tumeipenda hiyo story ya uongo, wewe inakuuma nini??

Mbona huko nje unadanganywa na mkeo/demu na bado hushupazi shingo kama hapa kwenye Ushuhuda wa Imani?

Pepoo tokaaaaaa! Sema hayo maneno mara tatu na utakuwa huru.
 
Kabisa, kuna namna makanisa ya kilokole yanaanza kuharalisha uongo kwa kigezo cha kuvuta watu kwa Yesu. Binafsi sidhani kama Yesu anahitaji kuvuta watu kwake kwa namna hiyo maana kwa utukufu wake kila kiumbe kiko chini ya mamlaka yake so tusitumie nguvu kubwa mpaka kukufuru.
Asante kwa kuelewa,kwa pamoja wakristo tukielewa haya unayozungumza hakika Imani tutailinda.
 
We nae utakuja kugongwa nyuma Mambo ya kudandia kwa mbele Mambo yasokuhusu.
Hauna akili wewe. Umetoka huko umeleta shobo kwenye uzi wa watu kuwa ni wa uongo.

Utaingiliwa nyuma wewe kwa akili yako hiyo finyu na wivu wa kuona mtu kaleta ushuuda wake..


Uzi mzima una comment umeshadadia kuwa ni uongo, hata mwenye uzi humjui ila umetanua miguu unasema ni uongo


Paka shumee wewe
 
We nae utakuja kugongwa nyuma Mambo ya kudandia kwa mbele Mambo yasokuhusu.
Tulifundishwa darasani kuwa unapotembea barabarani unatakiwa utembelee upande wa kulia mwa barabara ili magari yanayokuwa upande wako yaje upande wa mbele. Kwani huyo hakupita darasa la tatu mpaka aje agongwe kwanyuma dadaangu?
 
Hauna akili wewe. Umetoka huko umeleta shobo kwenye uzi wa watu kuwa ni wa uongo.

Utaingiliwa nyuma wewe kwa akili yako hiyo finyu na wivu wa kuona mtu kaleta ushuuda wake..


Uzi mzima una comment umeshadadia kuwa ni uongo, hata mwenye uzi humjui ila umetanua miguu unasema ni uongo


Paka shumee wewe
Nakusisitizia uache kudandia gari kwa mbele, mwanaume mwenye kiherehere Kama wewe hata zile nahino zake hazina uvumilivu Ni pa paaa kwishaaa......jitulize ili uwe mwanaume kamili
 
Nakusisitizia uache kudandia gari kwa mbele, mwanaume mwenye kiherehere Kama wewe hata zile nahino zake hazina uvumilivu Ni pa paaa kwishaaa......jitulize ili uwe mwanaume kamili
Huna hoja sioni sababu ya kubishana na mwanamke uliyeshindwana na mumeo kwa kujifanya mjuaji wa kula kitu.

Kitulize unazeeka sasa
 
1. Hotelia katika hoteli gani (si lazima saana kujibu, itapendeza zaidi ukijibu)
2. Ulikuwa unaishi sehemu gani?
3. Kanisa la wapi uliloenda kupokea uponyaji.
4. Ilikuwa mwaka upi?

Msitufanye tuokoke kwa chai.

Jemima Mrembo

Ujalazimishwa
 
Asante sana ushuhuda huu mzuri wenye kuinua imani za watu. Laiti watu wangejua nguvu na uwezo wa Yesu Kristo ulivyo wa ajabu wangeepuka mateso na manyanyaso ya mapepo. Atukuzwe Bwana Yesu Kristo!
Wachawi wanaaminika kuliko nguvu ya Kristo, kweli watu wamefungwa mashimoni kwenye giza totoro
 
Back
Top Bottom