stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Ni kweli,utaona kama story flani za kutunga.Ila Yesu ndio kiboko yao...Kama hujawahi tupiwa mapepo utadharau sana huu ushuhuda, ila ipo siku yatakuvagaa na ndipo utajua mapepo sio story ya kubeza.
Hongera kwake mrembo kwa kuokoka