Hiyo ni tea bila sugar bro.1. Hotelia katika hoteli gani (si lazima saana kujibu, itapendeza zaidi ukijibu)
2.Ulikuwa unaishi sehemu gani?
3.Kanisa la wapi uliloenda kupokea uponyaji.
4.ilikuwa mwaka upi?
Msitufanye tuokoke kwa chai.
Jemima Mrembo
Sugar bila tea π΅Hiyo ni tea bila sugar bro.
Jini kula vya bure kimasihara na utamu wake.Hapo tu ndo huwa mi natamani kuwa jini
Utangaziwe biashara ili iweje? Kuokoa sio kirahisi kama unavyodhani. Watu wanaokolewa kwa Neema ya KristoMatangazo ya Biashara ya Walokole
Kama hujawahi tupiwa mapepo utadharau sana huu ushuhuda, ila ipo siku yatakuvagaa na ndipo utajua mapepo sio story ya kubeza.
Hongera kwake mrembo kwa kuokoka
Tatizo la Hawa wanawake wa kilokole huwa wanawasikiliza wachungaji kuliko waume zao na wanamenywa sana wachungajiJini kula vya bure kimasihara na utamu wake.
Mimi nikisikia wife anapenda huko analo.Tatizo la Hawa wanawake wa kilokole huwa wanawasikiliza wachungaji kuliko waume zao na wanamenywa sana wachungaji
[emoji28][emoji28][emoji28]Hapo tu ndo huwa mi natamani kuwa jini
Hapo kwanza ncheke na mieπππππ