Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Dah wabongo noma sana
 
ndugu mdukuzi, ukiwa na majina ya watotobwako tu, ingia online kwanza lawyer atakushauri ni garama isiyozidi dola 50, then fungua kesi kupitia hawo online lawyer ili ufunguliwe unpate haki ya kuwatafuta au kuwaona wqtoto wako
 
Pole sana .
Nashauri msamehe na pia jaribu kumsahau ili ugange yajayo.
 
ndugu mdukuzi, ukiwa na majina ya watotobwako tu, ingia online kwanza lawyer atakushauri ni garama isiyozidi dola 50, then fungua kesi kupitia hawo online lawyer ili ufunguliwe unpate haki ya kuwatafuta au kuwaona wqtoto wako
Nitafanya hivyo mkuu asante kwa ushauri,details zao ninazo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38] ila mbongo kazidi daah

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ila kujaribishiwa liboro fix hiyo walitoswa tu.
Kuna Mganda alifunga ndoa kabisa, kuna wadada walitoa kisingizio kukeketwa na usagaji.
Kiujumla kutoka bongo udanganye mkimbizi Europe hutoboi
 
Kwani wewe ni msemaji wake?,hili swali alilijibu mwenyewe, una kila dalili kuwa wewe ni abuser wa GBV

Amen.

๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

#YNWA
 
Mwongo huyo vitu vyote anavyoandika humu 90% ni uongo
 
Arudi kufanya nn kwamba usa ndo kuna maisha, upuuzi mtupu.
 
[emoji23][emoji23]mwamba wa Canada katisha Sana. Katumia Fursa kitaalamu mno
 
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so km wataka kwenda inabidi uanze mazoezi kwanza ukifika mambo yasiwe mengi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Arudi kufanya nn kwamba usa ndo kuna maisha, upuuzi mtupu.
Endelea kunywa chai kwa shemeji hapo masaki, huku kinondoni moscow hata mhogo hakuna, sasa wewe unataka kuniambia maisha ya TZ yanafananana ya USA, subiria viajira vya immigrations shemeji yako akufanyie connections, tusiokua na connections tunatembea na passport zetu kiunoni, muda wowote kikilipuka ni kujilipua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ