Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Ahsante kaka nimefika kweli ila ilinifilisi, si unaona naandika tubmaelezo haya short,

Aliniambia huyu rafiji nilipe nikamlipa, tena basi njoo na pesa ya kupanga nyumba na ya kunnulia gari kisha zote nikamtumia.
Kuingia tu akatoweka na oesa zangu mpaka leo
Dah wabongo noma sana
 
ndugu mdukuzi, ukiwa na majina ya watotobwako tu, ingia online kwanza lawyer atakushauri ni garama isiyozidi dola 50, then fungua kesi kupitia hawo online lawyer ili ufunguliwe unpate haki ya kuwatafuta au kuwaona wqtoto wako
 
Ahsante kaka nimefika kweli ila ilinifilisi, si unaona naandika tubmaelezo haya short,

Aliniambia huyu rafiji nilipe nikamlipa, tena basi njoo na pesa ya kupanga nyumba na ya kunnulia gari kisha zote nikamtumia.
Kuingia tu akatoweka na oesa zangu mpaka leo
Pole sana .
Nashauri msamehe na pia jaribu kumsahau ili ugange yajayo.
 
ndugu mdukuzi, ukiwa na majina ya watotobwako tu, ingia online kwanza lawyer atakushauri ni garama isiyozidi dola 50, then fungua kesi kupitia hawo online lawyer ili ufunguliwe unpate haki ya kuwatafuta au kuwaona wqtoto wako
Nitafanya hivyo mkuu asante kwa ushauri,details zao ninazo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38] ila mbongo kazidi daah

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ila kujaribishiwa liboro fix hiyo walitoswa tu.
Kuna Mganda alifunga ndoa kabisa, kuna wadada walitoa kisingizio kukeketwa na usagaji.
Kiujumla kutoka bongo udanganye mkimbizi Europe hutoboi
 
Mwongo huyo vitu vyote anavyoandika humu 90% ni uongo
Siyo kweli. Huyu jamaa hakutiwa hatiani kwa lolote na alikuwa na familia. Kumpiga wife kofi moja siyo sababu ya kuwa deported bila kufikishwa mbele ya hakimu kwenye immigration court. Hata wale Wahamiaji Haramu wanaokamatwa kwa makosa ya traffic hufikishwa mbele ya hakimu, na hukaa rumande miezi mingi kabla ya hatma zao kuamuliwa. Isitoshe, Polisi hawana mamlaka ya kufanya deportation. Hiyo ni kazi ya ICE .
 
Pole ila mimi ninaiangalia upande wa pili wa coin, mkuu sasa umeona ni jinsi gani wenzetu walivyokua very seriously na hii GBV, once u rise your hands kwa ke hiyo ni treason case, sasa umepoteza watoto na opportunity nzuri na upo black listed USA nzima, hapa kwetu tunaona wanawake kama playing toy's zetu, pole na jipange upya, apologize kwa mzazi mwenzako then mwombe akawaone home dept ili wakuondoe kwenye list ya ukatili towards women, maana hii mkuu ndio kikwazo kikubwa wewe kurudi USA
Arudi kufanya nn kwamba usa ndo kuna maisha, upuuzi mtupu.
 
Hizi story za kuzamia zimenikumbusha jamaa tunafahamiana kiasi, kaenda States 2019 hapo kama daktari na hata stethoscope hawezi kuitaja achilia mbali kuijua.

Mwingine kasepa Canada mwaka jana, kufika inabidi ajifanye kakimbia vitendo vya unyanyapaa na ukatili kwa mashoga. Na mshkaji ni muislam safi, na hajui kitu kabisa kuhusu hizo mambo.
[emoji23][emoji23]mwamba wa Canada katisha Sana. Katumia Fursa kitaalamu mno
 
Usijidanganye utafika huko ukisema we ni Shoga... one of my brotha lives in Sweden alinipa story siku moja tuko kwenye voice-call ya WhatsApp akaniambia kuna wajinga kadhaa wa kibongo wamefika wakadanganya wao wakimbizi wamekimbia kwa sababu wao ni gays wanataka kuuwawa... wakafanyiwa vipimo na mbali na vipimo wanakuwepo watu special wa kukujaribishia Dushe... tena Dushe kwelikweli


Mbona walisalimu amri! [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakarudishwa Bongo... tulikufa kucheka... kwahiyo ukiandaa kisingizio hakikisha ni kweli. Kama unafirwa make sure ni kweli hiyo michezo unayo na we kweli ni gay.

#nawasilisha
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so km wataka kwenda inabidi uanze mazoezi kwanza ukifika mambo yasiwe mengi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Arudi kufanya nn kwamba usa ndo kuna maisha, upuuzi mtupu.
Endelea kunywa chai kwa shemeji hapo masaki, huku kinondoni moscow hata mhogo hakuna, sasa wewe unataka kuniambia maisha ya TZ yanafananana ya USA, subiria viajira vya immigrations shemeji yako akufanyie connections, tusiokua na connections tunatembea na passport zetu kiunoni, muda wowote kikilipuka ni kujilipua tu
 
Back
Top Bottom