Ngoke
JF-Expert Member
- Jun 14, 2020
- 285
- 504
Kaka pole sana kwa tatizo ulilopata, hili tatizo la kutelekezwa linauma sana ila kwa kuwa tumeumbwa kusahau, ndio maana sasa unawezapata nguvu kusimulia.
Kama hili tatizo halijakupata, hauwezi kujua uchungu wake.
Mimi naye the same nimekumbwa na tatizo hili USA
BADO akili halifanyi kazi, naamini hata wewe hapo ulipo bado unaguswa na machungu yake kama mimi bado naishi na machungu yake
Kama hili tatizo halijakupata, hauwezi kujua uchungu wake.
Mimi naye the same nimekumbwa na tatizo hili USA
BADO akili halifanyi kazi, naamini hata wewe hapo ulipo bado unaguswa na machungu yake kama mimi bado naishi na machungu yake