Nilivyotongozwa na msichana Baa

Nilivyotongozwa na msichana Baa

🤣🤣🤣 Wee shtuka kwenye hiyo ndoto utajikojolea ujue Manyanza
Yaani hata kukuvutia hisia hata kama hisia bandia akili yangu inakukataa kabisa 😂 😂 😂
Ila nataka nikutie mikononi kama Kuku wa Kienyeji anavyo yafuata mahindi mpaka bandan na watu wanamkamata na kumtia kisu cha shingo
 
Yaani hata kukuvutia hisia hata kama hisia bandia akili yangu inakukataa kabisa 😂 😂 😂
Ila nataka nikutie mikononi kama Kuku wa Kienyeji anavyo yafuata mahindi mpaka bandan na watu wanamkamata na kumtia kisu cha shingo
Jeuri hiyo huna!! Na hilo la kunitia mikononi sahau, endelea kuota labda kuku wa nyumbani kwenu 🤣
 
Mimi huyu?? Unaota wewe 🤣
Ushaanza na kutepweta kabisa tena hapa public kabisa halafu mtandaoni, yaani wewe aisee Huna viwango kabisaa
Jeuri hiyo huna!! Na hilo la kunitia mikononi sahau, endelea kuota labda kuku wa nyumbani kwenu 🤣
Kaaa hivyo hivyo na unavyo penda kunichokonoa wewe subiri tu.
 
Joannah natoa ruksa lamomy akutumie noti 2 za dola 100.
Sasa asipofanya naomba umfute kabisa kwenye undugu na sio mdogo wako tena.
Wee ushindweeee 😂😂😂
Anifute undugu ili iweje?? Yani anikatae damu yake we huogopi?? 🤣

Sisy Joannah zile pesa bana za wizzy we mtumie namba zako akuingizie hizo pesa weekend hii ukapate mvinyo usafishe koo 😂😂
 
Ushaanza na kutepweta kabisa tena hapa public kabisa halafu mtandaoni, yaani wewe aisee Huna viwango kabisaa

Kaaa hivyo hivyo na unavyo penda kunichokonoa wewe subiri tu.
😂😂😂😂 Ndiomana nakwambia wewe una matatizo kichwani..!!
Wewe manyanza unahitaji tiba ujue
 
Back
Top Bottom