Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Hahaha Tabia za Uswahili Kama kawaida yenu eti Danga langu .. Hahaha
Unapenda uzungu sana dogo!! basi jua wana tabia mbaya sana wale. Wachekee tu utalia cku moja.hayaaa!!

Soon wanakufanya chakula wee wachekee tu hawana dogo wale!!!

kwanza Ebu tupe kwa kifupi nani aligharamia hiyo safari yako yooote??

Inaonekana unawapenda sana kutoka moyoni!!!

Mie mswahili typical wa kureee!!! Jua ivo!! niko ivo!! Sitamani hata kuwa zeruzeru wa ulaya.

Wee mzungu eti na avata ya kizungu sawa bana mzungu pori.
 
Back
Top Bottom