Niliwaambia kuwa ili Tanzania ipate maendeleo mpaka kizazi cha 1940-1989 kiwe hakipo tena .

Niliwaambia kuwa ili Tanzania ipate maendeleo mpaka kizazi cha 1940-1989 kiwe hakipo tena .

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
🚮🚮🚮🚮
 
Wewe ni takataka za katikati ya mji.
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
Well said👏
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
Hiko kizazi kikiisha kijiti wanachukua akina Isack Mwigulu Nchemba

Halafu watoto wenu watakuwa machawa kwao
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
Unataka kusema kizazi cha maslay queen na wale vijana wanoimba inama sijui binuka ndiyo wataleta maendeleo?
Mimi sioni kama kuna kizazi kitaleta maendeleo maana elimu yenyewe imeharibiwa zaidi.
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
😳🙄
 
Unataka kusema kizazi cha maslay queen na wale vijana wanoimba inama sijui binuka ndiyo wataleta maendeleo?
Mimi sioni kama kuna kizazi kitaleta maendeleo maana elimu yenyewe imeharibiwa zaidi.
Watakaoweza kuleta mabadiliko ndio kwanza wapo shule za Chekechea na hata hawajijui !
🙌🙏
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
Maendeleo yapi unayataka zaidi ya haya?

Kwa hio baba zako na mama zako wanatakiwa waondolewe wote
 
Kizazi cha Pampas hiki ambacho vijana wa Kiume wanategemea mashangazi au kizazi gani unachokiongelea
 
Kiuhalisia kizazi kilichoishi kwenye ujamaa na chama kimoja. Kuna namna wanakuwa loyal kwa mfumo kwa kuziishi falsafa za kizamani..
 
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.

Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda

Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s

Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
Hicho kizazi cha 1990's ndio kile kizazi kisichokuwa na mbele wala nyuma, hakijuzi kazi za mikono, hakishiriki siasa ni kizazi cha kubeti na WhatsApp, kizazi legelege na kimejaa uwolowolo.
 
Back
Top Bottom