Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Kaa kiume wewe usiwape nafasi watu wakuendeshe, utajiingiza kwenye utumwa so fanya hivi
1. Nenda hiyo tarehe na washenga toa posa
2. Kama watakutajia mahari lipa ulicho nacho mfano wakakutajia milion 4 na wewe unayo 1m wape hiyo wakiikataa ondoka nayo na usiwe mbishi wala king'ang'anizi
3. Wakikutoza faini ya kumtia mimba wape wala usibishane nao
4. Wanaweza fanya mambo yao ya send off nk hayakuhusu
5. Ndoa simple ya Bomani na hafla ndogo ya wanafamilia inatosha sio lazima ufanye bonge la harusi
6. Wadhibiti wasivuke mipaka yao hiyo ni familia yako isiingiliwe kwa maushauri nk
7. Mke awe upande wako hataki akaishi na hao wengine anaowasikiliza.
8. Wakwe wakusikilize na wathamini na kuheshimu nia yako ya kuoa kwao wakileta madharau na ujuaji piga chini oa kwingine
9. Usiweke vikao wala mlolongo, wazazi wako na wakwe wafate plan yako hawataki wakae pembeni
 
Binti ameitwa kwao unamgomea na ihali hutambuliki?

Qmamae zako wewe
Sababu za kumgomea nimeziweka hapo. Na sio kwamba nilimgomea directly .

Nilimwambia awaambie wazazi wake anaumwa kitu ambacho ni kweli lakini pia hapaswi kuwa na heka heka kutokana na hali yake.


Utamsafirishaje mjamzito anayetapika kwenye public transport tena pekeyake??

Lakini pia alikua na threatened abortion na alashashauriwa apate enough bed rest??

Shida ya vijana mnaolala kwa dada zenu mkishashiba makande mnawazaga kwa kutumia MIQUNDU.
 
Ngachoka Meku!!

Nawaza kupiga kimya hata lamama akivuta waya niuchune kwanza mpaka tarehe waliyopanga ipite. Maana nilimuonya tokea mwanzo na hali halisi anaijua A - Z
wasikupeleke meku...... Mwanaume ni mangi siku zote!!

waambie uko busy...... Na hakuna kutoa hata mia

Hiyo familia ya demu inaonekana namna flani
 
wasikupeleke meku...... Mwanaume ni mangi siku zote!!

waambie uko busy...... Na hakuna kutoa hata mia

Hiyo familia ya demu inaonekana namna flani
Kunae maza mmoja ndio mkora na anatafuta namna yeyote akwamishe hii shughuli. 🤣
 
Sababu za kumgomea nimeziweka hapo. Utamsafirishaje mjamzito anayetapika kwenye public transport tena pekeyake??

Lakini pia alikua na threatened abortion na alashashauriwa apate enough bed rest??

Shida ya vijana mnaolala kwa dada zenu mkishashiba makande mnawazaga kwa kutumia MIQUNDU.
Mekuu taratbu otee ......
 
Kunae maza mmoja ndio mkora na anatafuta namna yeyote akwamishe hii shughuli. 🤣
Kaka usisikilize huko wataja kukufanya kibarua wao, bank yao, msolve matatizo yao

Kwani wakisubiri Kuna shida gani Hali umekubali kumuoa?
 
Kumuogopa Mungu kuna uhusiano gani na niliyoyaandika hapo, wazazi wangu wenyewe wameshangaa kwanini imekua ghafla hivyo na sasa wapo upande wangu.

Je nikimiuacha akaendelea kukaa kwao huoni kama ndio nitaonekana nina madharau??
Hapana boss. Tena ingependeza sana hichi kipindi cha kujifungua na mahari ukamchukulia kwao. Akae huko kwao.
 
Kaa kiume wewe usiwape nafasi watu wakuendeshe, utajiingiza kwenye utumwa so fanya hivi
1. Nenda hiyo tarehe na washenga toa posa
2. Kama watakutajia mahari lipa ulicho nacho mfano wakakutajia milion 4 na wewe unayo 1m wape hiyo wakiikataa ondoka nayo na usiwe mbishi wala king'ang'anizi
3. Wakikutoza faini ya kumtia mimba wape wala usibishane nao
4. Wanaweza fanya mambo yao ya send off nk hayakuhusu
5. Ndoa simple ya Bomani na hafla ndogo ya wanafamilia inatosha sio lazima ufanye bonge la harusi
6. Wadhibiti wasivuke mipaka yao hiyo ni familia yako isiingiliwe kwa maushauri nk
7. Mke awe upande wako hataki akaishi na hao wengine anaowasikiliza.
8. Wakwe wakusikilize na wathamini na kuheshimu nia yako ya kuoa kwao wakileta madharau na ujuaji piga chini oa kwingine
9. Usiweke vikao wala mlolongo, wazazi wako na wakwe wafate plan yako hawataki wakae pembeni
Nikekosa hata cha ku reply!!

Shukrani Mkuu!!
 
Hapana boss. Tena ingependeza sana hichi kipindi cha kujifungua na mahari ukamchukulia kwao. Akae huko kwao.
Yani mke ajifungulie kwao kisha ndipo nimfuate??

Mila za kwetu hazikubali utaratibu huo, lakini pia ni kama dharau.
 
Fuata busara za wazee wako boss.

Binti hukuwa umemuoa ila ukajipa umuhimu mpaka unamgomea mzee wake binti ni lini aende kwao.
Hauna discpline kabisa mkuu, 0nadhani ni kwasababu ya kutokuwa na hofu ya MUNGU hivyo hata wazazi unawachukulia poa. Kuna koo huwezi fanya hichi kitu, wazee wanakwambia hatumtambui huyo binti ni wako.
Wasipomtambua ndo inakuaje mkuu
 
Yani mke ajifungulie kwao kisha ndipo nimfuate??

Mila za kwetu hazikubali utaratibu huo, lakini pia ni kama dharau.
Kwani ni mkeo huyu? Au nimesoma habari kwa mawenge ya kinywaji?
 
Tatizo ni kwamba nimeshtukizwa kwa kitu ambacho nilishakiona kitakuja tokea baadae, naona dalili za kutengeneza single mother bila kupenda.
Idea yako ya mahakamani imeshakufa au bado ipo mkuu, nimesoma uzi lakini sjaelewa
 
Hapo ukiingia mitini ndio unakuja ambiwa umezalisha ukatelekeza.
 
Kwani ni mkeo huyu? Au nimesoma habari kwa mawenge ya kinywaji?
Inawezekana.

Lengo ni utambulisho then mwezi wa 3/4 ndipo kukutana ili ndugu pande zote tujuane.

Kumbuka matarajio ya binti kujifungua ni mwezi wa 6.

So niliwaza baada ya hapo ndipo utaratibu mwingine ningeukamilisha.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom