jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Kaa kiume wewe usiwape nafasi watu wakuendeshe, utajiingiza kwenye utumwa so fanya hivi
1. Nenda hiyo tarehe na washenga toa posa
2. Kama watakutajia mahari lipa ulicho nacho mfano wakakutajia milion 4 na wewe unayo 1m wape hiyo wakiikataa ondoka nayo na usiwe mbishi wala king'ang'anizi
3. Wakikutoza faini ya kumtia mimba wape wala usibishane nao
4. Wanaweza fanya mambo yao ya send off nk hayakuhusu
5. Ndoa simple ya Bomani na hafla ndogo ya wanafamilia inatosha sio lazima ufanye bonge la harusi
6. Wadhibiti wasivuke mipaka yao hiyo ni familia yako isiingiliwe kwa maushauri nk
7. Mke awe upande wako hataki akaishi na hao wengine anaowasikiliza.
8. Wakwe wakusikilize na wathamini na kuheshimu nia yako ya kuoa kwao wakileta madharau na ujuaji piga chini oa kwingine
9. Usiweke vikao wala mlolongo, wazazi wako na wakwe wafate plan yako hawataki wakae pembeni
1. Nenda hiyo tarehe na washenga toa posa
2. Kama watakutajia mahari lipa ulicho nacho mfano wakakutajia milion 4 na wewe unayo 1m wape hiyo wakiikataa ondoka nayo na usiwe mbishi wala king'ang'anizi
3. Wakikutoza faini ya kumtia mimba wape wala usibishane nao
4. Wanaweza fanya mambo yao ya send off nk hayakuhusu
5. Ndoa simple ya Bomani na hafla ndogo ya wanafamilia inatosha sio lazima ufanye bonge la harusi
6. Wadhibiti wasivuke mipaka yao hiyo ni familia yako isiingiliwe kwa maushauri nk
7. Mke awe upande wako hataki akaishi na hao wengine anaowasikiliza.
8. Wakwe wakusikilize na wathamini na kuheshimu nia yako ya kuoa kwao wakileta madharau na ujuaji piga chini oa kwingine
9. Usiweke vikao wala mlolongo, wazazi wako na wakwe wafate plan yako hawataki wakae pembeni