T-Bagwell
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 1,243
- 2,378
- Thread starter
- #61
Sina mpango wa kuoa kanisani/msikiniti na sijawahi kuwaza wala kutamani.Idea yako ya mahakamani imeshakufa au bado ipo mkuu, nimesoma uzi lakini sjaelewa
Wazo ni Mahakamani, shida ni changamoto n- vikwazo ninavyoletewa na ni vyakushtukizana miezi mibaya.