Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Jamaa hajalazimishwa bali yeye kalazimisha kuishi na mtoto wa watu mpaka kumpa mimba. Ukute huko watawahi ili ajifungulie ndoani na Binti kaishi na jamaa anaufahamu uchumi wake hivyo katoa ramani nzima kwa ndugu zake,na majigambo ya hapa na pale ile kujitapa wakaona kibopa wamepata. Cha msingi mleta mada aongee na wazazi wake na washenga wao watamuelewa
Jamaa anasema hana kitu, hayupo tayari kwenda. Sasa kwanini wanamlazimisha.
Jamaa akiwapa room ya kumlazimisha saa hizi, watamfanya hivyo hivyo hata akishaoa.
Kumbuka, 'you teach people how to treat you'.
 
Ya bomani na ya kidini zote sawa kasoro tu ya dini haina talaka(japo mahakama inaweza kutoa)ya bomani inayo ila mgawo pasu kwa pasu upo pale pale. Sherwhe za kukomoana zinatokea kwenye familia ila ukiwa na msimamo harusi haitakufilisi utaenda vile unavyopanga
Hesabu zangu zipo calculated sana hasa na hawa viumbe jinsia KE.

Na sio mtu ninayeogopa kubadilisha geer angani na ndio maana hata ndoa nili opt ya bomani na sio ya kidini.
 
Mi nadhani wanataka Binti yao apate mtoto akiwa kashaolewa/kufunga ndoa inayotambulika .
Faida yake ipo wapi kama nikishindwa kufuata utaratibu wanaoutaka kisha akapata mtoto kabla hajaolewa??
 
Jamaa hajalazimishwa bali yeye kalazimisha kuishi na mtoto wa watu mpaka kumpa mimba. Ukute huko watawahi ili ajifungulie ndoani na Binti kaishi na jamaa anaufahamu uchumi wake hivyo katoa ramani nzima kwa ndugu zake,na majigambo ya hapa na pale ile kujitapa wakaona kibopa wamepata. Cha msingi mleta mada aongee na wazazi wake na washenga wao watamuelewa
🤣 uchumi ni hohaheha ndio maana najaribu kuupambania sana uchumi wangu nisije kuaibika hapo mwezi wa sita.

Shida ninayoiona hapa ni kuendekeza baadhi ya mila ambazo mwisho wa siku zina komoq kwa upande wa muoaji na muoaji akiingia mitini hasara inakua kwao.
 
Budget waliyopanga kwaajili ya hiyo tafrija nikitoa hela alafu wakaenda watu wawili watazidi kuona kama familia yangu imefanya madharau.
Ebwana ndiyo naelewa.

Ila mbona najua kwamba upande wa Kike kama watataka kitu kama hicho gharama inakua juu yao? Au makabila tunatofautiana
 
Faida yake ipo wapi kama nikishindwa kufuata utaratibu wanaoutaka kisha akapata mtoto kabla hajaolewa??

Wazazi wake hawataki kuruhusu Hali hiyo kuzaa mtoto nje ya NDOA.

Wanataka mtoto apatikane akiwa katika Ndoa Halali
 
Sijaelewa yaani ulimgomea binti kurudi kwao hata mahari hujamtolea,na ukapanga sikukuu ale kwenu na sio kwao. Na bado una nguvu ya kuja kulalamika humu daah
Rudia tena kusoma
 
Ebwana ndiyo naelewa.

Ila mbona najua kwamba upande wa Kike kama watataka kitu kama hicho gharama inakua juu yao? Au makabila tunatofautiana
Upande wetu ni tofauti Mkuu
 
Wazazi wake hawataki kuruhusu Hali hiyo kuzaa mtoto nje ya NDOA.

Wanataka mtoto apatikane akiwa katika Ndoa Halali
Ndio wapange tarehe za kunikomoa?? What if nikashindwa kisha binti yao akazalia kwao??
 
Ndio wapange tarehe za kunikomoa?? What if nikashindwa kisha binti yao akazalia kwao??

Unakuaje mwanaume usiwe na msimamo wewe ndiye unaeamua Lini utakuwa tayari kufunga Ndoa kama haupo tayari wao wanalazimisha basi wakae na Binti yao Hadi pale utakapokuwa tayari .. unashindwa kuwajibu hivyo.

Kuwa na msimamo.
 
Nadhani hapo ilibidi wakupe taarifa kabla ya kuamua tarehe, ila wakwe na wao kama wamekukomoa sababu haukwenda.
Ishu unayotakiwa kufanya ni kuwaambia hiyo tarehe sio convenient kwako na uwape unayoitaka, wakigoma we relax.
Kwenye harusi familia ya nwanaume ndio inatakiwa iwe na upper hand
Niende siku washenga walipotumwa??

Sidhani kama ni appropriate kwa tamaduni za kitz.
 
Habarini wana jukwaa.


Mwanzoni mwa mwaka jana (December 2024) wazazi wangu walinishauri tutume wawakilishi waende nyumbani kwa wazazi wa mchumba wangu kwaajili ya utambulisho.

Japokua Binti nilishaanza kuishi naye kwa zaidi ya miezi mitatu, ilihali tulishakaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka minne.

Niliwataarifu wazazi kwamba wasubirie kwanza mpaka nitakapoweka mambo sawa ndipo nitawaambia ili tuanze taratibu zote mpaka NDOA.

Binafsi mimi sio mfuasi wa DINI kwahiyo swala la ndoa nilipanga kufunga naye ndoa ya KIMAHAKAMA (Japokua hili sikuwashirikisha wazazi kwasababu ni wafuasi sana wa Dini) na pia sikupanga tarehe, mwezi au mwaka (Nilitegemea akishajifungua ndipo nitaanza kuweka taratibu za tarehe na mwezi wa tukio hilo)

Wazazi walikazania sana hilo swala pasipo kunisikiliza, ikafika mpaka hatua wakasema kama unahofia gharama basi sisi tutagharamia…. Ikabidi niwe mpole.

Wakapanga tarehe, wakapanga watu wa kwenda kisha wakanitaarifu nikatoa baadhi ya fedha kwaajili ya ku sapoti shughuli kisha watu wakaenda.

Walipewa tarehe ya mwisho wa mwaka ndipo wapeleke baadhi ya mahitaji mengine/fedha kiandaliwe chakula kwa pamoja ili ndugu zake na wakwangu waweze kufahamiana.

(KULIKUA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE KUTOKANA NA KUTOKUFIKA KWA TAARIFA KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA FAMILIA YAO)

Tulijadiliana na wazazi na mwisho wa mwaka ulishindikana kutokana na ratiba zilizokuwepo kwa upande wa ukoo wangu mwisho wa mwaka.

Juzi kabla ya Christmas aliniambia ameitwa kwao na baba yake kwaajili ya kikao, nikamkatalia akalalamika mpaka kufikia stage ya kulia.

Tarehe 28 walipiga simu kwetu kudai kwamba wanamhitaji binti yao kwaajili ya mazungumzo, wazazi wakanipigia nikawambia hawezi safiri mwenyewe kwasababu pia ni MJAMZITO na kama week mbili zilizopita aliumwa na kulazwa mpaka mimba ikatishia kutosha, akahudumiwa na kushauriwa apate muda wa kutosha wa kupumzika.

Baba yake akataka namba yangu azungumze na mimi nikamwambia binti asimpe, baadae nikawasiliana na wazazi wangu nikaona isiwe shida, jioni yake nilimwambia awasiliane na rafiki yake kisha nitawapeleka… kweli alifanya hivyo na rafiki yake alikubali.

Jioni ilifika nikawapeleka japokua sikuwafikisha nyumbani kwao kabisa, nikawakodishia usafiri mwingine then mimi nikaendelea na safari ya kuelekea migombani. (KILIMANJARO)

(HII SAFARI YA KWENDA KWETU ILIKUA NIMEPENGA KWENDA NAE ILI PIA AKAJUMUIKE NA NDUGU ZANGU)

Mwaka mpya ukafika na safari yangu ya kurudi ilikaribia, nikampigia simu usiku wa tarehe moja kumuuliza kama kesho yake tarehe mbili asubuhi atakua tayari ili nimpitie turudi wote nyumbani akaniambia kuna maongezi wanamalizia then yeye atakuja jioni yake/kesho yake asubuhi tarehe 2 nikaona sio shida kwasababu bado kuna ndugu zangu bado walikuwepo migombani so ingekua rahisi kumpa lift kupunguza changamoto za public transport lakini haikua hivyo kutokana na sababu alizoleta za hapa na pale

Leo asubuhi nimeamka najiandaa na harakati za siku napokea simu nyumbani kwamba upande wa mwanamke wamekaa na wametupa tarehe 15/01 kwamba ndio tarehe ya hilo tukio kwahiyo tunapaswa tutume kiasi cha fedha kwaajili ya maandalizi ya hiyo siku.

Kila nikiangalia nafasi ya hiyo tarehe kwa upande wangu na wazazi wangu inakosekana, lakini pia January ni mwezi mgumu karibia kwa kila mtu.

Nawaza ku abort mission lakini in a good way, nachomokaje kwenye hili wakuu… kwasababu tokea mwanzo nilikua namkataza mwenzangu asiende nikitegemea yote haya lazima yatatokea.

Lakini pia wazazi wangu wamechangia yote haya kwasababu nilishawaonya tokea mwanzo lakini walikataa kunisikiliza.
Haya mambo anayaweza Patric
Habarini wana jukwaa.


Mwanzoni mwa mwaka jana (December 2024) wazazi wangu walinishauri tutume wawakilishi waende nyumbani kwa wazazi wa mchumba wangu kwaajili ya utambulisho.

Japokua Binti nilishaanza kuishi naye kwa zaidi ya miezi mitatu, ilihali tulishakaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka minne.

Niliwataarifu wazazi kwamba wasubirie kwanza mpaka nitakapoweka mambo sawa ndipo nitawaambia ili tuanze taratibu zote mpaka NDOA.

Binafsi mimi sio mfuasi wa DINI kwahiyo swala la ndoa nilipanga kufunga naye ndoa ya KIMAHAKAMA (Japokua hili sikuwashirikisha wazazi kwasababu ni wafuasi sana wa Dini) na pia sikupanga tarehe, mwezi au mwaka (Nilitegemea akishajifungua ndipo nitaanza kuweka taratibu za tarehe na mwezi wa tukio hilo)

Wazazi walikazania sana hilo swala pasipo kunisikiliza, ikafika mpaka hatua wakasema kama unahofia gharama basi sisi tutagharamia…. Ikabidi niwe mpole.

Wakapanga tarehe, wakapanga watu wa kwenda kisha wakanitaarifu nikatoa baadhi ya fedha kwaajili ya ku sapoti shughuli kisha watu wakaenda.

Walipewa tarehe ya mwisho wa mwaka ndipo wapeleke baadhi ya mahitaji mengine/fedha kiandaliwe chakula kwa pamoja ili ndugu zake na wakwangu waweze kufahamiana.

(KULIKUA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE KUTOKANA NA KUTOKUFIKA KWA TAARIFA KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA FAMILIA YAO)

Tulijadiliana na wazazi na mwisho wa mwaka ulishindikana kutokana na ratiba zilizokuwepo kwa upande wa ukoo wangu mwisho wa mwaka.

Juzi kabla ya Christmas aliniambia ameitwa kwao na baba yake kwaajili ya kikao, nikamkatalia akalalamika mpaka kufikia stage ya kulia.

Tarehe 28 walipiga simu kwetu kudai kwamba wanamhitaji binti yao kwaajili ya mazungumzo, wazazi wakanipigia nikawambia hawezi safiri mwenyewe kwasababu pia ni MJAMZITO na kama week mbili zilizopita aliumwa na kulazwa mpaka mimba ikatishia kutosha, akahudumiwa na kushauriwa apate muda wa kutosha wa kupumzika.

Baba yake akataka namba yangu azungumze na mimi nikamwambia binti asimpe, baadae nikawasiliana na wazazi wangu nikaona isiwe shida, jioni yake nilimwambia awasiliane na rafiki yake kisha nitawapeleka… kweli alifanya hivyo na rafiki yake alikubali.

Jioni ilifika nikawapeleka japokua sikuwafikisha nyumbani kwao kabisa, nikawakodishia usafiri mwingine then mimi nikaendelea na safari ya kuelekea migombani. (KILIMANJARO)

(HII SAFARI YA KWENDA KWETU ILIKUA NIMEPENGA KWENDA NAE ILI PIA AKAJUMUIKE NA NDUGU ZANGU)

Mwaka mpya ukafika na safari yangu ya kurudi ilikaribia, nikampigia simu usiku wa tarehe moja kumuuliza kama kesho yake tarehe mbili asubuhi atakua tayari ili nimpitie turudi wote nyumbani akaniambia kuna maongezi wanamalizia then yeye atakuja jioni yake/kesho yake asubuhi tarehe 2 nikaona sio shida kwasababu bado kuna ndugu zangu bado walikuwepo migombani so ingekua rahisi kumpa lift kupunguza changamoto za public transport lakini haikua hivyo kutokana na sababu alizoleta za hapa na pale

Leo asubuhi nimeamka najiandaa na harakati za siku napokea simu nyumbani kwamba upande wa mwanamke wamekaa na wametupa tarehe 15/01 kwamba ndio tarehe ya hilo tukio kwahiyo tunapaswa tutume kiasi cha fedha kwaajili ya maandalizi ya hiyo siku.

Kila nikiangalia nafasi ya hiyo tarehe kwa upande wangu na wazazi wangu inakosekana, lakini pia January ni mwezi mgumu karibia kwa kila mtu.

Nawaza ku abort mission lakini in a good way, nachomokaje kwenye hili wakuu… kwasababu tokea mwanzo nilikua namkataza mwenzangu asiende nikitegemea yote haya lazima yatatokea.

Lakini pia wazazi wangu wamechangia yote haya kwasababu nilishawaonya tokea mwanzo lakini walikataa kunisikiliza.
Haya Mambo ya Pochi nene mwachieni patrickk wa G ndio hamnaga chenga nazo,,
 
Habarini wana jukwaa.


Mwanzoni mwa mwaka jana (December 2024) wazazi wangu walinishauri tutume wawakilishi waende nyumbani kwa wazazi wa mchumba wangu kwaajili ya utambulisho.

Japokua Binti nilishaanza kuishi naye kwa zaidi ya miezi mitatu, ilihali tulishakaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka minne.

Niliwataarifu wazazi kwamba wasubirie kwanza mpaka nitakapoweka mambo sawa ndipo nitawaambia ili tuanze taratibu zote mpaka NDOA.

Binafsi mimi sio mfuasi wa DINI kwahiyo swala la ndoa nilipanga kufunga naye ndoa ya KIMAHAKAMA (Japokua hili sikuwashirikisha wazazi kwasababu ni wafuasi sana wa Dini) na pia sikupanga tarehe, mwezi au mwaka (Nilitegemea akishajifungua ndipo nitaanza kuweka taratibu za tarehe na mwezi wa tukio hilo)

Wazazi walikazania sana hilo swala pasipo kunisikiliza, ikafika mpaka hatua wakasema kama unahofia gharama basi sisi tutagharamia…. Ikabidi niwe mpole.

Wakapanga tarehe, wakapanga watu wa kwenda kisha wakanitaarifu nikatoa baadhi ya fedha kwaajili ya ku sapoti shughuli kisha watu wakaenda.

Walipewa tarehe ya mwisho wa mwaka ndipo wapeleke baadhi ya mahitaji mengine/fedha kiandaliwe chakula kwa pamoja ili ndugu zake na wakwangu waweze kufahamiana.

(KULIKUA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE KUTOKANA NA KUTOKUFIKA KWA TAARIFA KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA FAMILIA YAO)

Tulijadiliana na wazazi na mwisho wa mwaka ulishindikana kutokana na ratiba zilizokuwepo kwa upande wa ukoo wangu mwisho wa mwaka.

Juzi kabla ya Christmas aliniambia ameitwa kwao na baba yake kwaajili ya kikao, nikamkatalia akalalamika mpaka kufikia stage ya kulia.

Tarehe 28 walipiga simu kwetu kudai kwamba wanamhitaji binti yao kwaajili ya mazungumzo, wazazi wakanipigia nikawambia hawezi safiri mwenyewe kwasababu pia ni MJAMZITO na kama week mbili zilizopita aliumwa na kulazwa mpaka mimba ikatishia kutosha, akahudumiwa na kushauriwa apate muda wa kutosha wa kupumzika.

Baba yake akataka namba yangu azungumze na mimi nikamwambia binti asimpe, baadae nikawasiliana na wazazi wangu nikaona isiwe shida, jioni yake nilimwambia awasiliane na rafiki yake kisha nitawapeleka… kweli alifanya hivyo na rafiki yake alikubali.

Jioni ilifika nikawapeleka japokua sikuwafikisha nyumbani kwao kabisa, nikawakodishia usafiri mwingine then mimi nikaendelea na safari ya kuelekea migombani. (KILIMANJARO)

(HII SAFARI YA KWENDA KWETU ILIKUA NIMEPENGA KWENDA NAE ILI PIA AKAJUMUIKE NA NDUGU ZANGU)

Mwaka mpya ukafika na safari yangu ya kurudi ilikaribia, nikampigia simu usiku wa tarehe moja kumuuliza kama kesho yake tarehe mbili asubuhi atakua tayari ili nimpitie turudi wote nyumbani akaniambia kuna maongezi wanamalizia then yeye atakuja jioni yake/kesho yake asubuhi tarehe 2 nikaona sio shida kwasababu bado kuna ndugu zangu bado walikuwepo migombani so ingekua rahisi kumpa lift kupunguza changamoto za public transport lakini haikua hivyo kutokana na sababu alizoleta za hapa na pale

Leo asubuhi nimeamka najiandaa na harakati za siku napokea simu nyumbani kwamba upande wa mwanamke wamekaa na wametupa tarehe 15/01 kwamba ndio tarehe ya hilo tukio kwahiyo tunapaswa tutume kiasi cha fedha kwaajili ya maandalizi ya hiyo siku.

Kila nikiangalia nafasi ya hiyo tarehe kwa upande wangu na wazazi wangu inakosekana, lakini pia January ni mwezi mgumu karibia kwa kila mtu.

Nawaza ku abort mission lakini in a good way, nachomokaje kwenye hili wakuu… kwasababu tokea mwanzo nilikua namkataza mwenzangu asiende nikitegemea yote haya lazima yatatokea.

Lakini pia wazazi wangu wamechangia yote haya kwasababu nilishawaonya tokea mwanzo lakini walikataa kunisikiliza.
T-Bagwell Ndugu yangu, wewe ni mtu mzima, kuendeshwa na wazazi labda utake wewe
Usipokua na msimamo watakupangia mpaka kuzaa

Mimi kama mm mtu hanipelekeshi hasa mambo ya ndoa mimi nagawa dozi ya Muting mpaka akili zinawakaa sawa

Mzazi ukinizingua siji nyumbani wala siongei na wewe

Heshima ifuate mkondo wake
 
Habarini wana jukwaa.


Mwanzoni mwa mwaka jana (December 2024) wazazi wangu walinishauri tutume wawakilishi waende nyumbani kwa wazazi wa mchumba wangu kwaajili ya utambulisho.

Japokua Binti nilishaanza kuishi naye kwa zaidi ya miezi mitatu, ilihali tulishakaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka minne.

Niliwataarifu wazazi kwamba wasubirie kwanza mpaka nitakapoweka mambo sawa ndipo nitawaambia ili tuanze taratibu zote mpaka NDOA.

Binafsi mimi sio mfuasi wa DINI kwahiyo swala la ndoa nilipanga kufunga naye ndoa ya KIMAHAKAMA (Japokua hili sikuwashirikisha wazazi kwasababu ni wafuasi sana wa Dini) na pia sikupanga tarehe, mwezi au mwaka (Nilitegemea akishajifungua ndipo nitaanza kuweka taratibu za tarehe na mwezi wa tukio hilo)

Wazazi walikazania sana hilo swala pasipo kunisikiliza, ikafika mpaka hatua wakasema kama unahofia gharama basi sisi tutagharamia…. Ikabidi niwe mpole.

Wakapanga tarehe, wakapanga watu wa kwenda kisha wakanitaarifu nikatoa baadhi ya fedha kwaajili ya ku sapoti shughuli kisha watu wakaenda.

Walipewa tarehe ya mwisho wa mwaka ndipo wapeleke baadhi ya mahitaji mengine/fedha kiandaliwe chakula kwa pamoja ili ndugu zake na wakwangu waweze kufahamiana.

(KULIKUA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE KUTOKANA NA KUTOKUFIKA KWA TAARIFA KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA FAMILIA YAO)

Tulijadiliana na wazazi na mwisho wa mwaka ulishindikana kutokana na ratiba zilizokuwepo kwa upande wa ukoo wangu mwisho wa mwaka.

Juzi kabla ya Christmas aliniambia ameitwa kwao na baba yake kwaajili ya kikao, nikamkatalia akalalamika mpaka kufikia stage ya kulia.

Tarehe 28 walipiga simu kwetu kudai kwamba wanamhitaji binti yao kwaajili ya mazungumzo, wazazi wakanipigia nikawambia hawezi safiri mwenyewe kwasababu pia ni MJAMZITO na kama week mbili zilizopita aliumwa na kulazwa mpaka mimba ikatishia kutosha, akahudumiwa na kushauriwa apate muda wa kutosha wa kupumzika.

Baba yake akataka namba yangu azungumze na mimi nikamwambia binti asimpe, baadae nikawasiliana na wazazi wangu nikaona isiwe shida, jioni yake nilimwambia awasiliane na rafiki yake kisha nitawapeleka… kweli alifanya hivyo na rafiki yake alikubali.

Jioni ilifika nikawapeleka japokua sikuwafikisha nyumbani kwao kabisa, nikawakodishia usafiri mwingine then mimi nikaendelea na safari ya kuelekea migombani. (KILIMANJARO)

(HII SAFARI YA KWENDA KWETU ILIKUA NIMEPENGA KWENDA NAE ILI PIA AKAJUMUIKE NA NDUGU ZANGU)

Mwaka mpya ukafika na safari yangu ya kurudi ilikaribia, nikampigia simu usiku wa tarehe moja kumuuliza kama kesho yake tarehe mbili asubuhi atakua tayari ili nimpitie turudi wote nyumbani akaniambia kuna maongezi wanamalizia then yeye atakuja jioni yake/kesho yake asubuhi tarehe 2 nikaona sio shida kwasababu bado kuna ndugu zangu bado walikuwepo migombani so ingekua rahisi kumpa lift kupunguza changamoto za public transport lakini haikua hivyo kutokana na sababu alizoleta za hapa na pale

Leo asubuhi nimeamka najiandaa na harakati za siku napokea simu nyumbani kwamba upande wa mwanamke wamekaa na wametupa tarehe 15/01 kwamba ndio tarehe ya hilo tukio kwahiyo tunapaswa tutume kiasi cha fedha kwaajili ya maandalizi ya hiyo siku.

Kila nikiangalia nafasi ya hiyo tarehe kwa upande wangu na wazazi wangu inakosekana, lakini pia January ni mwezi mgumu karibia kwa kila mtu.

Nawaza ku abort mission lakini in a good way, nachomokaje kwenye hili wakuu… kwasababu tokea mwanzo nilikua namkataza mwenzangu asiende nikitegemea yote haya lazima yatatokea.

Lakini pia wazazi wangu wamechangia yote haya kwasababu nilishawaonya tokea mwanzo lakini walikataa kunisikiliza.
Humfai huyo binti utamtesa tu una roho mbaya
 
Fuata busara za wazee wako boss.

Binti hukuwa umemuoa ila ukajipa umuhimu mpaka unamgomea mzee wake binti ni lini aende kwao.
Hauna discpline kabisa mkuu, 0nadhani ni kwasababu ya kutokuwa na hofu ya MUNGU hivyo hata wazazi unawachukulia poa. Kuna koo huwezi fanya hichi kitu, wazee wanakwambia hatumtambui huyo binti ni wako.
Huyu hafai kuwa mume wa Uyo binti kitendo cha kusema haamini Dini hafai kuwa Na familia
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kumuogopa Mungu kuna uhusiano gani na niliyoyaandika hapo, wazazi wangu wenyewe wameshangaa kwanini imekua ghafla hivyo na sasa wapo upande wangu.

Je nikimiuacha akaendelea kukaa kwao huoni kama ndio nitaonekana nina madharau??
Madharau unayo
 
Habarini wana jukwaa.


Mwanzoni mwa mwaka jana (December 2024) wazazi wangu walinishauri tutume wawakilishi waende nyumbani kwa wazazi wa mchumba wangu kwaajili ya utambulisho.

Japokua Binti nilishaanza kuishi naye kwa zaidi ya miezi mitatu, ilihali tulishakaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka minne.

Niliwataarifu wazazi kwamba wasubirie kwanza mpaka nitakapoweka mambo sawa ndipo nitawaambia ili tuanze taratibu zote mpaka NDOA.

Binafsi mimi sio mfuasi wa DINI kwahiyo swala la ndoa nilipanga kufunga naye ndoa ya KIMAHAKAMA (Japokua hili sikuwashirikisha wazazi kwasababu ni wafuasi sana wa Dini) na pia sikupanga tarehe, mwezi au mwaka (Nilitegemea akishajifungua ndipo nitaanza kuweka taratibu za tarehe na mwezi wa tukio hilo)

Wazazi walikazania sana hilo swala pasipo kunisikiliza, ikafika mpaka hatua wakasema kama unahofia gharama basi sisi tutagharamia…. Ikabidi niwe mpole.

Wakapanga tarehe, wakapanga watu wa kwenda kisha wakanitaarifu nikatoa baadhi ya fedha kwaajili ya ku sapoti shughuli kisha watu wakaenda.

Walipewa tarehe ya mwisho wa mwaka ndipo wapeleke baadhi ya mahitaji mengine/fedha kiandaliwe chakula kwa pamoja ili ndugu zake na wakwangu waweze kufahamiana.

(KULIKUA NA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE KUTOKANA NA KUTOKUFIKA KWA TAARIFA KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA FAMILIA YAO)

Tulijadiliana na wazazi na mwisho wa mwaka ulishindikana kutokana na ratiba zilizokuwepo kwa upande wa ukoo wangu mwisho wa mwaka.

Juzi kabla ya Christmas aliniambia ameitwa kwao na baba yake kwaajili ya kikao, nikamkatalia akalalamika mpaka kufikia stage ya kulia.

Tarehe 28 walipiga simu kwetu kudai kwamba wanamhitaji binti yao kwaajili ya mazungumzo, wazazi wakanipigia nikawambia hawezi safiri mwenyewe kwasababu pia ni MJAMZITO na kama week mbili zilizopita aliumwa na kulazwa mpaka mimba ikatishia kutosha, akahudumiwa na kushauriwa apate muda wa kutosha wa kupumzika.

Baba yake akataka namba yangu azungumze na mimi nikamwambia binti asimpe, baadae nikawasiliana na wazazi wangu nikaona isiwe shida, jioni yake nilimwambia awasiliane na rafiki yake kisha nitawapeleka… kweli alifanya hivyo na rafiki yake alikubali.

Jioni ilifika nikawapeleka japokua sikuwafikisha nyumbani kwao kabisa, nikawakodishia usafiri mwingine then mimi nikaendelea na safari ya kuelekea migombani. (KILIMANJARO)

(HII SAFARI YA KWENDA KWETU ILIKUA NIMEPENGA KWENDA NAE ILI PIA AKAJUMUIKE NA NDUGU ZANGU)

Mwaka mpya ukafika na safari yangu ya kurudi ilikaribia, nikampigia simu usiku wa tarehe moja kumuuliza kama kesho yake tarehe mbili asubuhi atakua tayari ili nimpitie turudi wote nyumbani akaniambia kuna maongezi wanamalizia then yeye atakuja jioni yake/kesho yake asubuhi tarehe 2 nikaona sio shida kwasababu bado kuna ndugu zangu bado walikuwepo migombani so ingekua rahisi kumpa lift kupunguza changamoto za public transport lakini haikua hivyo kutokana na sababu alizoleta za hapa na pale

Leo asubuhi nimeamka najiandaa na harakati za siku napokea simu nyumbani kwamba upande wa mwanamke wamekaa na wametupa tarehe 15/01 kwamba ndio tarehe ya hilo tukio kwahiyo tunapaswa tutume kiasi cha fedha kwaajili ya maandalizi ya hiyo siku.

Kila nikiangalia nafasi ya hiyo tarehe kwa upande wangu na wazazi wangu inakosekana, lakini pia January ni mwezi mgumu karibia kwa kila mtu.

Nawaza ku abort mission lakini in a good way, nachomokaje kwenye hili wakuu… kwasababu tokea mwanzo nilikua namkataza mwenzangu asiende nikitegemea yote haya lazima yatatokea.

Lakini pia wazazi wangu wamechangia yote haya kwasababu nilishawaonya tokea mwanzo lakini walikataa kunisikiliza.

Unasema ulishawaonya wazazi wako?

Mtoto kumuonya mzazi ndio mara ya kwanz kusikia Jambo hili.
 
Back
Top Bottom