The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Gentleman never kiss and tell.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No usimuamini mtu! Kwenye suala la afya tusilete imani kabisa vile vidonge kuvinywa kila siku si mchezo😒😒Hahahaha...hakuna haja, imani huponya. [emoji3][emoji3]
For sure! Haya mambo ya kuleteana humu dah 🤔Gentleman never kiss and tell.
Wanazingua sana! Tutaogopa hata kuonana nao hata kawaida tu sasa.Mnazingua sana vijana, story za nje ya humu sio sawa kuzileta humu.
Fikirini tena aisee!
Kichwa cha chini kikiwa hakina nguvu bado, inawezekana but kikisha chemka Mungu tu ndo huto okoa sie viumbe wake dhaifu.No usimuamini mtu! Kwenye suala la afya tusilete imani kabisa vile vidonge kuvinywa kila siku si mchezo[emoji19][emoji19]
The best thing ni kuwa njia kuu(which is almost impossible), hii mara tupime, mara tuvae mipira...end of it ni tabu tu!No usimuamini mtu! Kwenye suala la afya tusilete imani kabisa vile vidonge kuvinywa kila siku si mchezo[emoji19][emoji19]
Jamaa unajarbu mkumbuka baby wake, sababu waliachana bila taarifaa....nadhani hajaleta hyo stor kwa ubaya.Wanazingua sana! Tutaogopa hata kuonana nao hata kawaida tu sasa.
Msisingizie kichwa cha watu! Mnajiendekeza tu 😜Kichwa cha chini kikiwa hakina nguvu bado, inawezekana but kikisha chemka Mungu tu ndo huto okoa sie viumbe wake dhaifu.
Huyo dogo ndio yupo chuoni Njiro saiv. Hiyo 2012 anayoisemea Arusha alikuwa anaiona kwa TV.
Hapa niwe mkweli kidogo nimefanya makadirio maana sikuwa mdau sana wa hizi nightclub, ilikuwa ni usiku nakumbuka kuna barabara flani ambayo tulipita pale round about ya kijenge ikawa imenyooka ndo tukafika club, Nahisi ile barabara ilikuwa inaenda moshono, Kipindi hiki nlikuwa sio mzururaji sana, Nilivyoanza kutembea tembea huko ndo nkavuta picha huenda kule kulikuwa moshono tulikoenda, Nmesechi club za huko nmekuta kuna hii club D, Any way nme edit nmeandika ni night club tu, asante kwa mchangoClub D haikuwepo enzi hizo. Mi mwenyeje wa Arusha mkuu. Niishe hapo au niendelee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...upewe papuchi kwa kuonewq huruma...?.... Daaah xabuni tena ,,,,,mi Nlijua unanipa mxaada[emoji44][emoji44][emoji44]
Haha, manzi awe mpya afu mkali...my friend labda mwanamke ndo alazimishe kuvaa mpira otherwise kwa wanaume inakua ngumu kdgo kukumbuka. [emoji16]Msisingizie kichwa cha watu! Mnajiendekeza tu [emoji12]
Nyie wakorofi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] papuchi ya msaada[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...upewe papuchi kwa kuonewq huruma...?
Mmh njia ya kumkumbuka ni kuandika uzi humu?! Na hizo comments zingine za watu kukutana na watu tofauti na walivotegemea umeziona?Jamaa unajarbu mkumbuka baby wake, sababu waliachana bila taarifaa....nadhani hajaleta hyo stor kwa ubaya.
"Jamani kuliko utumie sabunu.... Ngoja nikuchanulie TU miguu[emoji3][emoji3]"...anachukua anaweka WaaaaahNyie wakorofi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] papuchi ya msaada
Duh unakuja kujutia baadaye starehe ya dk chache tu! Siamini kama ukiamua kujicontrol huwezi bana hata iwe pisi kama malaika. Tatizo ni kujiendekeza na kujiona weak mbele ya pisi kali😬Haha, manzi awe mpya afu mkali...my friend labda mwanamke ndo alazimishe kuvaa mpira otherwise kwa wanaume inakua ngumu kdgo kukumbuka. [emoji16]
Mkuu wala usiulize, mpatie tu huyu jamaa. Ni mwandishi mzuri sana wa hizi hadithi. Anaweza akawa JAMES HADLEY CHASE, au hata tu yule mtunzi wa vile vitabu vya kibongobongo vya WILLY GAMBA (NJAMA, KIKOSI CH KISASI).....Una kipaji cha kutunga kijana...nikupe namba ya Shigongo?
Yeah nimeziona, ila ujue huu ni mtandao wa kjamii kama Instagram na Facebook...so tofaut huku hakuna real identification...so wengne wanataka wachumba na waume....so haya mambo yategemee tu...otherwise wew unae ombwa kukutana na mtu na ujiulze b4 hyo mtu hujaktana nae mfatilie humu ili ujue tabia zake....Mmh njia ya kumkumbuka ni kuandika uzi humu?! Na hizo comments zingine za watu kukutana na watu tofauti na walivotegemea umeziona?
Hahahaha, mchanulie mwamba na hii barid iliyoko Tanzania nzima itakua burudani kabisa...atakupa bakora za kimkakati [emoji3][emoji3][emoji3]"Jamani kuliko utumie sabunu.... Ngoja nikuchanulie TU miguu[emoji3][emoji3]"...anachukua anaweka Waaaaah
Msaada kwa isani ya watu wa Uchina
Duhh, financial services umetoa maneno kuntu....Acha nijkaze kwa kweli...mawenge ya pisi kali yapungue...[emoji3][emoji3][emoji3]Duh unakuja kujutia baadaye starehe ya dk chache tu! Siamini kama ukiamua kujicontrol huwezi bana hata iwe pisi kama malaika. Tatizo ni kujiendekeza na kujiona weak mbele ya pisi kali[emoji51]