Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi bana unaweza😀 mambo ya kuanza kuogopa kwenda kupima sababu ulijiachia na pisi kali bila kinga mmh. Siku njema mkuu Anteto!Duhh, financial services umetoa maneno kuntu....Acha nijkaze kwa kweli...mawenge ya pisi kali yapungue...[emoji3][emoji3][emoji3]
Asante mkuu@finance..Hope sku tukienda pima wote sto ogopa [emoji3][emoji3]...sku njema pia.Jitahidi bana unaweza[emoji3] mambo ya kuanza kuogopa kwenda kupima sababu ulijiachia na pisi kali bila kinga mmh. Siku njema mkuu Anteto!
Hayo mambo ya form 4 na kwa wale wanaopigwa brush certificate, Vitu vyepesi sana ivyo, Huku juu kulikuwa na shughuli pevu za company accounts, Consolodated financial statements, variance analysis, internationa finance, operation research (quantitative techniques), corporate finance, n.k ukilegea kidogo unapata karai (C) na wengine walikuwa wanakamatwa (supplementary) au kupigwa kamba mguuni (carry)Inawezekana hili ndio ulilolipata IAA, ukipewa kutengeneza P&L a/c na b/ sheet unaweza?
Weka picha View attachment 1674636
Mkuuu...hata hayo uloweka hapo...mrahisi Sana. .Wewe ndo kichwa kizitoHayo mambo ya form 4 na kwa wale wanaopigwa brush certificate, Vitu vyepesi sana ivyo, Huku juu kulikuwa na shughuli pevu za company accounts, Consolodated financial statements, variance analysis, internationa finance, operation research (quantitative techniques), corporate finance, n.k ukilegea kidogo unapata karai (C) na wengine walikuwa wanakamatwa (supplementary) au kupigwa kamba mguuni (carry)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha, mchanulie mwamba na hii barid iliyoko Tanzania nzima itakua burudani kabisa...atakupa bakora za kimkakati [emoji3][emoji3][emoji3]
hahah, waganga wa kienyeji huwa hamtoagi siri, hii inajulikanaKamwe sitatoa siri zangu binafsiza JF hapa na pengine popote...
Tuliyoyafafanya yatabaki kuwa siri yetu
....ndiooo papuch itanifaa...japo mama alinikataza..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...upewe papuchi kwa kuonewq huruma...?
😅😅😅swali zuri sanaUpo na mke wako bado unampenda Isabella[emoji57], kwanini hukumuoa? Hana chura?
@Behaviourist njoo ujibu swali[emoji28][emoji28][emoji28]swali zuri sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Niite tu jeupe, unaponiita hilo jina la mwanzo nikiangalia na picha yako akili inanhama [emoji23][emoji23] (utani)
Hawezi kukuja😄😄@Behaviourist njoo ujibu swali
Wabongo mnakosaga cha kusema basi 😁😁 tushawazoea.Mkuuu...hata hayo uloweka hapo...mrahisi Sana. .Wewe ndo kichwa kizito
Afadhali umekubali Ugenius Wangu...Wabongo mnakosaga cha kusema basi [emoji16][emoji16] tushawazoea.
Mtu ukielezea shida utaskia "duh hicho cha mtoto hujapitia niliyopitia"
mtu ukijisifu umepandishwa cheo utaskia mwengine hana hata kazi anasema "mi huwa nalewa club flani na boss wako aliekupandisha cheo".
Haya genius tumekusikia