Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Inawezekana hili ndio ulilolipata IAA, ukipewa kutengeneza P&L a/c na b/ sheet unaweza?
Hayo mambo ya form 4 na kwa wale wanaopigwa brush certificate, Vitu vyepesi sana ivyo, Huku juu kulikuwa na shughuli pevu za company accounts, Consolodated financial statements, variance analysis, internationa finance, operation research (quantitative techniques), corporate finance, n.k ukilegea kidogo unapata karai (C) na wengine walikuwa wanakamatwa (supplementary) au kupigwa kamba mguuni (carry)
 
Unakipaji sana cha kutunga story.
Japo sijaisoma ila inaonekana itakuwa nzuri.
Endelea kujifukiza
 
Kamwe sitatoa siri zangu binafsiza JF hapa na pengine popote...
Tuliyoyafafanya yatabaki kuwa siri yetu
 
Hayo mambo ya form 4 na kwa wale wanaopigwa brush certificate, Vitu vyepesi sana ivyo, Huku juu kulikuwa na shughuli pevu za company accounts, Consolodated financial statements, variance analysis, internationa finance, operation research (quantitative techniques), corporate finance, n.k ukilegea kidogo unapata karai (C) na wengine walikuwa wanakamatwa (supplementary) au kupigwa kamba mguuni (carry)
Mkuuu...hata hayo uloweka hapo...mrahisi Sana. .Wewe ndo kichwa kizito
 
Mkuuu...hata hayo uloweka hapo...mrahisi Sana. .Wewe ndo kichwa kizito
Wabongo mnakosaga cha kusema basi 😁😁 tushawazoea.

Mtu ukielezea shida utaskia "duh hicho cha mtoto hujapitia niliyopitia"

mtu ukijisifu umepandishwa cheo utaskia mwengine hana hata kazi anasema "mi huwa nalewa club flani na boss wako aliekupandisha cheo".

Haya genius tumekusikia
 
Wabongo mnakosaga cha kusema basi [emoji16][emoji16] tushawazoea.

Mtu ukielezea shida utaskia "duh hicho cha mtoto hujapitia niliyopitia"

mtu ukijisifu umepandishwa cheo utaskia mwengine hana hata kazi anasema "mi huwa nalewa club flani na boss wako aliekupandisha cheo".

Haya genius tumekusikia
Afadhali umekubali Ugenius Wangu...

Asante Sana mkuu
 
Back
Top Bottom