Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Afadhali umekubali Ugenius Wangu...

Asante Sana mkuu
Usivimbe kichwa, hakuna genius anaejisifiaga ni genius labda awe kichaa, magenius wengi wanajiona bado sio ma genius kwasababu hawajui kila kitu.

Kwanza nikikupa swali tu hapa la kawaida utakimbia huu uzi.

Genius my foot πŸ€”πŸ€”
 
Daaa ,bro wee ni mwandishi bora kabisa,hongera sana.
 
Story nzuri,ila unaweza kuta demu mwenyewe wa kawaida tu.
 
Dahhh hi chai ...nainywa tu siipendi lakini ndio hivyo nifanye [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu ukuje ukujeee!!! ukiona hii ni Ugali basi mie niko na mboga utakula kulumangia, na kama ukiona ni Chai basi fanya ukuje na vitafunwa Brinna_Mercy
 
@Dudujeupe 🀣🀣🀣🀣 jina lako lina uhusiano gan na weweπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚
 
Wewe jamaa kiboko yaani stori niliyokusimulia jinsi nilivyokutana na mke wangu leo ndiyo umeiongezea vionjo kidogo unadai ni wewe mhusika,nimekuvulia kofia.
 
1. Mwanaume unakataje mauno?
2.;Arusha nasikia tomboys ndo wamejaa huko. Uliwezaje kumridhisha mtu wa namna hiyo?
 
Nilikutanaga na kidem kiko veta me niko univ'. Kilikua kizuri sana, white, nyama za kutosha. Kikaniambia ni bikra. In mind najuaga kumvunja binti kikombe ni vita. Siku ya kupiga, hakukua na purukushani zozote, nikapiga vitatu, sikuona damu wala kamasi. Tumemaliza kananiambia, asante kwa kuniondolea usichana.

Nikajiwazia 'hili ni jambazi grade A'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…