Una msongo wa mawazo! Nagutombele nokho nashik'aha!Nimeelezea vyema tu kuhusu Wao kwenda na kwa uendaji Wao nasikitika kwa Upumbavu wako umeshindwa Kunielewa na umeniuliza Swali la hovyo hovyo.
Waziri Mama Ndalichsko ana Kazi Kubwa mno ya Kuboresha Elimu ya Tanzania ili iweze ama Kupunguza au kuondoa kabisa Wapuuzi ( Mahayawani ) wa mfano wako.
Jamaa mpumbavu sana huyu! Anataka kutulazimisha ujinga! Eti viongozi wote lazima waende Vatican, ni lini alimsikia Mh. Jiwe anaenda Vatican?Acha kutuletea udini wewe
Kabla ya kutuhadaa hebu kwanza tuorodheshee utawala wa Tanzania tangu uhuru tuwaone marais na makamu wao walivyokua wakatoliki!
Achaguliwe yoyote atakaechaguliwa tunachotaka ni achape kazi na maendeleo
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿♥️
Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli 🕊
You are missing the point....Catholic and being Genius goes together don't you know that you Dimwit?
Na wote hawana utikadi kali😄
Una msongo wa mawazo! Nagutombele nokho nashik'aha!
Mama naye kashaenda Vatican kuapa?
Upumbavu ni mzigo!
Wajinga tena wale waliokubuhu huamini ndie ma genius wa dunia hii.Intellectuals huwa hawasemi neno ' homework ' bali husema neno ' assignment ' sawa?
Jamaa mpumbavu sana huyu! Anataka kutulazimisha ujinga! Eti viongozi wote lazima waende Vatican, ni lini alimsikia Mh. Jiwe anaenda Vatican?
Nyerere - CatholicRais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela
Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..
Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
You are missing the point....
Read again and again my comment...it appears you don't know Swahili..
Rubbish
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dhehebu gani?Old Suit Cathedral.