Mpango ni muanglican .mtoa post kakurupukaBado sijakuelewa
Mpango ni mkatoliki? Nimesikia ni Anglican..
Au Mpango leo leo kaongea akiwa kanisa la kikatoliki??
Mkuu tujaribu kufirisha akili sasa..Rais ikitoka bara basi makamu atatokea visiwani hivyo hivyo Rais wa JMT akitokea visiwani basi bara atatoka makamu.Umepuyanga sana mzee, hivi wakati unaandika huu upupu hukushtuka tu kuwa Kikwete na Dr. Bilali sio Wakatoliki? Na walikuwa katika nafasi ulizotaja ya kuwa mmoja wapi ni lazima awe Mkatoliki?
Umekula maharage ya wapi mkuu mpaka umevimbiwa? Malizia pilau kwa shemeji yako ulale!
Kama ni Anglican alisomaje Itaga?Msaidizi wa Rais wa sasa ni from Angrican church, sijui unasemaje katika hili
Ukweli ,kwa wenye jicho la tatu wanaelewa.Ingawa ni topic ya kijinga but huu ndio Ukweli. Urais ni wa Islam na Catholic tu.
Islam ni kwa ajili ya kuonyesha kuwa nao wanakumbukwa but still Rais anakuwa loyal kwa Vatican atake asitake.
So Lutheran na wengine sisi tutulie tu.
Kwa hiyo ndg hapo ndio umefikirisha akili yako na imefika mwisho sio? Pole sana na nikutakie jioni njema.Mkuu tujaribu kufirisha akili sasa..Rais ikitoka bara basi makamu atatokea visiwani hivyo hivyo Rais wa JMT akitokea visiwani basi bara atatoka makamu.
Kilichotokea kwa JMK na Dr.Balil kipo wazi...maana Zanzibar wengi ni Waislam kwahiyo lazma umpate Muislam tu.
Uliwai jiuliza kua kwanini mpaka leo Zanzibar aijawai kuongozwa na Rais Mkristo?
Na wewe huoni umeandika upupu hapa, Lowassa ni Mkatoliki kianzia lini?JK alisahau,ikabidi Lowasa afukuzwe,ili Kanisa Katoliki wakamate walau nafasi ya Uwaziri Mkuu! Mpinge kwa hoja na sio kumradhau mkuu! Nasadiki kwa kanisa moja,wana nguvu kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hamjui dunia inaongozwa na kanisa katoliki japo sio moja kwa moja ila papa ndio mkuu wao wote, hata kwenye biblia ipo
Na wewe huoni umeandika upupu hapa, Lowassa ni Mkatoliki kianzia lini?
BTW, nafasi mbili za juu ni zipi? Au ni pamoja na Uwaziri Mkuu?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kulingana na scenarios kadhaa nilizowahi kuziona na kuthibitisha uwepo na nguvu ya hao watu!
Hivi kile kikao cha kuundwa hao jamaa upya mzee Apson si alikifanyia hapo sebuleni Mt Petro?
Pia Mwanya alikua anaonana sana na mmakua kusolve ile issue na mzee mchonga....
Time flies! Niliwahi kuja kuthibitisha baada ya kugundua assasination nyingi za hatari na kiutaalam ziko pia kwa hao jamaa..
Sijakubaliana na thread yako for 100%. Ila kuna kaukweli flani ka roman catholic kuwa na influence kubwa kwenye siasa za bongo kama sio za ulimwengu.
Ingawa ni topic ya kijinga but huu ndio Ukweli. Urais ni wa Islam na Catholic tu.
Islam ni kwa ajili ya kuonyesha kuwa nao wanakumbukwa but still Rais anakuwa loyal kwa Vatican atake asitake.
So Lutheran na wengine sisi tutulie tu.
Kwahiyo unataka kusema haya makanisa ya wajasilia dini kina Gwajima na Masanja mkandamizaji wasahau nafasi nyeti ? Maskini Nileteeeeeni Gwajiiiiiima .
Mkuu hivi huwa mnafikiria kweli kabla ya kupost au ndy ilimradi tu upost..??