morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,853
Mpango sio mkatoliki ni muanglican ujasikia ata kakake ni askofu mstaafu wa kanisa la kiprostant Anglican.umechanganya mambo ile ibada hilikuwa ya pasaka kitaifa na kwa kawaida wakristo ufanya ibada ya pamoja.iwe uwanjani au kanisa moja wapo litakalo faa .kama ilivyo fanyika kwenye kanisa katoliki Dodoma