Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Wewe ni conspiracy theorist extra ordinare
 
Unakumutwa wewe hebu peleka ungese kule. Hii nchi si ya kidini ingawa wewe ungependa iwe hivyo.
 
Aaah eti mbona Mh.Kikwete na Mh.Balali wote walikua Waislam... Ujibiwa mkuu kubali tu kujifunza vitu vipya
Sasa umejibu nini mkuu? Nafasi mbili za juu ni Rais na Makamu tu, hizo ndio nafasi kubwa hapa nchini.

Pili, Lowassa sio Mkatoliki. Au unajua wakristo wote ni Wakatoliki? Naona umeng'ang'ania na kujikuta umeandika point kias kwamba unataka nami nijifunza kitu kipya, labda kipya cha uongo.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mleta maada kama wew ilitakiwakufyekelea mbali maana unaonekana kukumbatia udini tulia kama huna cha kupost.
 
Ni dola iliyotapakaa duniani kote na kushika nafasi ya uongozi lazima vatican wakujue. Pia inasemekana ndio nchi iliyojilimbikizia dhahabu kuliko nchi yoyote duniani. Remnants of Roman empire Ndio hawa.

Watu very Intelligent and well Informed kama hivi Wewe mpo wachache sana hapa JamiiForums Ndugu. Heko.
 
MODS.. Uzi huu mpaka muda huu unafanya nn hapa... Ni wakufuta Mara moja...
 
MODS.. Uzi huu mpaka muda huu unafanya nn hapa... Ni wakufuta Mara moja...

Moderators wa JamiiForums bahati nzuri siyo Wapumbavu kama Wewe na Uzi huu upo na utaendelea kuwepo kwani una Faida Kubwa Kifikra, Kiudadavuzi na Kiimani vile vile.

Unachonishangaza umeshajua kabisa Uzi huu hujaupenda ( japo Ulishoboka Kuufungua na Kuusoma wote ) lakini bado tu kila mara Unaufungua na Kuchungulia Comments za Wachangiaji.

Hii ni dalili tosha kuwa ni lazima tu iwe isiwe utakuwa na Matatizo makubwa sana ya Akili na wasipokuwahi unaweza hata Kufanya Tukio baya hata la Kusukuma Ukuta wa Berlin au Kuokota Kuni ukiwa kama Mtoto wa Kiume.

Sasa hivi Uzi umefika Ukurasa wa 18 unaitafuta wa 19 huku Comments za Members wanaokuzidi Akili ( ukiondoa yako tu Wewe Mpumbavu Mmoja na Mwendawazimu Wewe ) zikifikia #350 na bado Watu wanaendelea tu Kutiririka na Kuserereka.
 
Kumbuka enzi ya utawala wa Rais Mwinyi kulikuwa na baba wa Taifa lote la Tanzania, na hata pale lilipoibuka suala la serikali tatu Baba alimkashifu hadharani na kumwambia eti anashauriwa na mkewe.

Dr. Salmin rais wa Zanzibar alipotaka kujiunga na OIC (jumuia za nchi za kiislamu) Baba wa Taifa hakujali kuwa nchi ina Rais alimkemea Dr Salmin akamwambia asithubutu kujiunga na akamwita Chamwino kumpa karipio kali.

Ukweli Mzee Mwinyi msimuhesabu kuwa alikuwa Rais Mtendaji, Hili la makamo wa Rais ni kuwa katiba inasema Rais akitoka Bara makamo atoke Zanzibar na ndio maana makamo anatoka Zanzibar.

Hiyo kuwa Rais Kawa Mama Samia CCM hawakutegemea walidhani mzee Magufuli atamaliza vipindi viwili.CCM walifurutu ada na kutaka kumwongezea muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…