MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #161
Kinachojadiliwa kwenye bango hili ni nanfasi moja tu URAISI including na Makamu wake/hao uliowataja utajua mwenyewe
Kwani Mpango ni mkatoliki? Siyo Muanglican kweli? Kaka yake alikuwa askofu wa Anglican kule Kigoma
Ninachokijua mimi kuhusu RC ni kwamba, hili ni dhehebu kubwa na lenye nguvu kubwa Duniani pote.
Marekani pamoja na ujanja wao wote, hakuna wanachokiogopa kama RC.
Wao wanaita "ROMAN EMPIRE"
Ukienda hapo Nchi ya jirani tu hapo, mtu akitaka kugombea Urais lazima kwanza aombe kibali katika Baraza la Maaskofu Katoliki. Wakikubali anachaguliwa, wakikataa hachaguliwi.
Kwa leo niishie tu hapa kuhusu RC, kwani naona watu wengi humu jf bado hawajaijua vizuri RC.
Tayari watu wameshaona huu uzi wako hauna substance yoyote bali story za kwenye vijiwe vya kahawa, story kama hizi huwa wanaanzisha watoto wa sekondari wanapokuwa likizo kwenye vijiwe vyao, ndo maana nikauliza kama shule hazijafunguliwa....
We farra huna hata kumbukumbu kuwa Bilal na JK wote walikuwa waislam?
Ni yupi kati ya hawa uliowataja alikuwa rais au makamu wa rais JMT? Kama nilimwelewa vizuri GeneralistKwa sasa kila mtu akijisikia kuandika anaandika anavyojua. Hivi Warioba, Malecela, Msuya, Lowasa na Sumaye nao ni wakatoliki?
Jamaa limeanzisha uzi wa kitoto watu wakipiga spana linakuja kutukana...
Akili yako imejaa kinyesi... Huoni hata dunia ilipo...
Kwani wote hao waliwahi kuwa makamu wa Rais. Issue ni tangu uhuru hadi sasa hajawahi kuwepo makamu wa Rais ama Rais mkristo asiyekuwa Mkatoliki yani mkristo mprosetitant ama mpentekost.
Na waliongoza nchi vyema kabisa na wakaiacha salama wakatoliki woote walivurunda na hawakuwa na utu kabisa nadhan ndio maana woote walitangulia kuzimuni na ukatoliki waoHakuna neno ' Fara ' kama ulivyoandika hapa bali tuna neno sahihi la ' Fala ' ambalo hata aliyepandikiza Mbegu na ukazaliwa Wewe Juha nae ni Fala Mwandamizi vile vile.
Kwan Rais akiwa wa din flan Eg RC then what's next? Barabara akijenga zitakuwa Za RC?
No yupi kati ya hawa uliwataja alikuwa rais wa JMT? Kama nilimwelewa vizuri Generalist
Huu ni ujinga tu kama ujinga mwingine wowote.
Na waliongoza nchi vyema kabisa na wakaiacha salama wakatoliki woote walivurunda na hawakuwa na utu kabisa nadhan ndio maana woote walitangulia kuzimuni na ukatoliki wao
Kijana fanya kazi acha kusubiri ajira za serikali.
Huu utopolo uliouandika ni kwasababu ya uvivu ulio nao kichwani na hata mwilini.
Vipi dini ya kiisalamu, tangu tupate uhuru uliwahi kuona uongozi ambao rais au makamu wa rais siyo Mwislamu?