Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Jamaa ukicheki kwenye frji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo.

Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu

Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
 
Jamaa ukicheki kwenye frjiji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo.

Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu

Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
Hata wewe ukiwa mwizi serikali utaponda raha tu, ila ukiwa kubaka mtaani utachomwa moto.

The choice is yours
 
Ni kipimo cha nini

Kwamba uwe na uhakika wa vyakula na vinywaji bado uwe na Maisha ya hovyo

Mahitaji ya binadamu
Chakula
Mavazi
Makazi (makazi) waziri anavyo vyote hivyo bado useme si kipimo cha Maisha bora

kwA upande wako kipimo ni kipi?
Watu wenye maisha bora wanakula chakula na kunywa vinywaji kama dawa ili wasije wakala na kunywa dawa kama chakula baadae
 
Ila tanzania baadhi tuna Maisha magumu sana siku Moja kuna dingi ameweka vocha ya Buku 10 jamaa mmoja akalaumu sana kwamba Buku 10 n mlo wake kwA wiki 2
Analaumu nini sasa [emoji3][emoji3]
 
Kawaida hao watu wana privilege kubwa sana..kuna mzee wangu alikuwa diplomat akawa ananiambia yeye maisha yote kaishi kuanzia magumu sana ya kuchunga ng'ombe mpka hayo unayoyasema wewe.
Yeye akawa anadai hayo ni maisha artificial,mahali alikokuwa anadai ilikuwa lazima friji liwe na vinywaji vyote hata kama hutumii,maisha unayoishi lazima yafanane na yale ya us,uk nk..maana kuna siku utapata wageni toka hizo nchi.

Ila baada ya kustaafu alipigika haina mfano...
 
Njaa itakuuwa, kwahiyo wew chamaana uliona misosi tu?, labda hukuona chanzo chochote cha kukumotivate nawew ufikr alipo? Ama kitabu chochote cha maana? Ama basi hukupata fununu za siri za mafanikio yake? Ama basi hata connection?

Hovyo kabisa ama kwel masikin watabaki kuwa masikini, vyakula na vinywaji nowdays ni kawaida kujaa majumbani hata kwa family za kawaida, njoo huku mtaan majobless kibao tu lkn mageto hakupungukiw mazaga ya maana.

Fungua akili kijana umechezea fursa mjinga wew
 
Njaa itakuuwa, kwahiyo wew chamaana uliona misosi tu?, labda hukuona chanzo chochote cha kukumotivate nawew ufikr alipo? Ama kitabu chochote cha maana? Ama basi hukupata fununu za siri za mafanikio yake? Ama basi hata connection?

Hovyo kabisa ama kwel masikin watabaki kuwa masikini, vyakula na vinywaji nowdays ni kawaida kujaa majumbani hata kwa family za kawaida, njoo huku mtaan majobless kibao tu lkn mageto hakupungukiw mazaga ya maana.

Fungua akili kijana umechezea fursa mjinga wew
IMG_20220505_204740_467.jpg
 
Duh ulichoona ni chakula na vinywaji tu, ndo kikakuonyesha maisha bora!?
Kwani kujaza friji vinywaji na vyakula ni sh ngap
Hata anayelipwa 300k anaweza kujaza akiamua.
Pengine hata nyumba amepangishiwa na serikali
Nilitegemea uelezee uwekezaji wa maana uliouona lkn duh
 
Back
Top Bottom