Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Jamaa ukicheki kwenye frjiji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo.

Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu

Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
Mbona huhitaji kuwa waziri kuishi hivyo?
 
Shukuru Mungu kwa uhai. Anaweza kuwa na vyote hivyo ila akakosa Amani ya moyo, akajaa stress, akawa mbali na Muimba wake...mwisho atakufa kama wewe tu.
Nakuunga mkono hapa.Wakati mwingine watu wa hivi maisha anayoishi anatamani maisha yako wewe unayoishi uswazi.Mtu kama huyo unaweza kuta ana mke mzuri mno vile ana uwezo ana uwezo wa kununua mapenzi lakini hawezi kununua upendo.Unakuta mkewe ni mwingi sana ni mhuni na malaya vile jamaa kila mara jamaa anakuwa kwenye mikutano huduma ya penzi mke anampa houseboy wake.Kibaya zaidi ukute mungu amemjalia watoto kichwa ngumu wote na wabia unga.
Bro rizika na ulicho nacho na umshukuru muumba hicho alichokupa lakini una amani moyoni kikubwa fanya kazi kwa bidii na jiwekee malengo ya muda mrefu.Unaweza kuta ana vitu vyote hivyo lakini ukiona chakula anachokula ukimtupia mbwa au paka anagoma kula vile ni kibaya sana kutokana na masharti ya daktari kutokana na maradhi yanayomsumbua.
Ndio maana asubuhi hii saa 10 na dk 45 nilikuwa nawaza kitu kama hiki kuwa mungu huwa sio mchoyo anagawa riziki kwa kila mtu aliyesoma na asiyesoma kabisa wote hawa wanachokula mwili hauchagui hii ni pilau au ugali wa dagaa la kupaka lakini in the end wakienda toilet kinatoka kitu kile kile.
 
Jamaa ukicheki kwenye frjiji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo.

Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu

Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
Kujaza mabia kwenye friji ndiyo kuishi maisha bora?

Huo ni ujinga wa asili.
 
wewe mwehu hayo ndio umeona maisha ya anasa wakati ni maisha ya kwaida tu.
The way ulivyoongea ni kama umetoka maisha ya chini kupitiliza..Yaani kuwa na friji na kuweka mahitaji muhimu kama hizo kuku na vinywaji wewe unaona utajiri
 
Hata hivyo hao jama wanahitaji elimu ya lishe,

Labda kama ni watu wa kutembelewa na wageni mara kwa mara au uliwakuta wakitarajia kufanya shughuli fulani.

Vinginevyo hao watakuwa wanakula na kunywa hovyo,

Si watakuwa wamenenepeana hiyo familia au umewaonaje ?
 
Mojawapo ya kanuni ya kuepuka overweight na jinsi ya kujizoesha katika nidhamu ya kula na kufanya mazoezi ni pamoja na kuzingatia neighborhood.

Ukiwa karibu na wauza chips au mgahawa kwamba ukitoka nje tu ya geti la nyumba unaona mgahawa au panapouzwa junk food the likelihood that utakuwa tempted kuwa na mazoea ya kutumia hayo makitu ni kubwa sana na kujizuia yataka moyo na kujikana.

Kwa hiyo kujilimbikia vinywaji ndani ni kujiweka katika majaribu ya kuvitumia kwa sana isipokuwa pale tu unapotarajia kutembelewa na wageni au nyakati za siku kuu n.k.
 
Uhakika wa uwepo wa vyakula wakt wote na makazi mazuri ni reflection ya kuishi vizr..tofautisheni kula kinachopatikana na kula unachotaka mda wwte..kula vizuri sio jambo dogo kwa mtanzania..hata huyo anayesema vyakula si issue..usikute akipata ugeni wa ndg wawili tu anaweza kununa kutwa nzima, yeye na familia yake nzima..we unafikiri kwann mjini hawataki wageni; menu kwa mswahili ni kitu kikubwa mno
 
Kwahyo ukahisi friji kujaa na kuku ndo maisha mazuri mbona life ni far more than unachokifikiria hivyo vitu unavyosema hata familia za kawaida vipo kwan cret la beer bei gani soda bei gani kuku ukiweka 5 kwenye fridge bei gani ila maisha mazuri ni zaidi ya hivyo unavyowaza ushamba na umaskini unatufanya tuone watu wanaishi vizur kumbe ni maisha ya kawaida umaskini ni kama ukilema tuueluke sana
 
wewe mwehu hayo ndio umeona maisha ya anasa wakati ni maisha ya kwaida tu.
The way ulivyoongea ni kama umetoka maisha ya chini kupitiliza..Yaani kuwa na friji na kuweka mahitaji muhimu kama hizo kuku na vinywaji wewe unaona utajiri
Maskini wana tabu sana alaf malezi pia yanachangia mtu kama huyu ndo wale wanaliwa kiboga kisa chakula au vinywaji maana kwao havipo na hajafunzwa kujua kiasi cha kwao
 
Njaa itakuuwa, kwahiyo wew chamaana uliona misosi tu?, labda hukuona chanzo chochote cha kukumotivate nawew ufikr alipo? Ama kitabu chochote cha maana? Ama basi hukupata fununu za siri za mafanikio yake? Ama basi hata connection?

Hovyo kabisa ama kwel masikin watabaki kuwa masikini, vyakula na vinywaji nowdays ni kawaida kujaa majumbani hata kwa family za kawaida, njoo huku mtaan majobless kibao tu lkn mageto hakupungukiw mazaga ya maana.

Fungua akili kijana umechezea fursa mjinga wew
Lugha Kali za Nini Tena?
 
Nakuunga mkono hapa.Wakati mwingine watu wa hivi maisha anayoishi anatamani maisha yako wewe unayoishi uswazi.Mtu kama huyo unaweza kuta ana mke mzuri mno vile ana uwezo ana uwezo wa kununua mapenzi lakini hawezi kununua upendo.Unakuta mkewe ni mwingi sana ni mhuni na malaya vile jamaa kila mara jamaa anakuwa kwenye mikutano huduma ya penzi mke anampa houseboy wake.Kibaya zaidi ukute mungu amemjalia watoto kichwa ngumu wote na wabia unga.
Bro rizika na ulicho nacho na umshukuru muumba hicho alichokupa lakini una amani moyoni kikubwa fanya kazi kwa bidii na jiwekee malengo ya muda mrefu.Unaweza kuta ana vitu vyote hivyo lakini ukiona chakula anachokula ukimtupia mbwa au paka anagoma kula vile ni kibaya sana kutokana na masharti ya daktari kutokana na maradhi yanayomsumbua.
Ndio maana asubuhi hii saa 10 na dk 45 nilikuwa nawaza kitu kama hiki kuwa mungu huwa sio mchoyo anagawa riziki kwa kila mtu aliyesoma na asiyesoma kabisa wote hawa wanachokula mwili hauchagui hii ni pilau au ugali wa dagaa la kupaka lakini in the end wakienda toilet kinatoka kitu kile kile.
Umeongea kwa busara Sana..
 
Kwahyo ukahisi friji kujaa na kuku ndo maisha mazuri mbona life ni far more than unachokifikiria hivyo vitu unavyosema hata familia za kawaida vipo kwan cret la beer bei gani soda bei gani kuku ukiweka 5 kwenye fridge bei gani ila maisha mazuri ni zaidi ya hivyo unavyowaza ushamba na umaskini unatufanya tuone watu wanaishi vizur kumbe ni maisha ya kawaida umaskini ni kama ukilema tuueluke sana
Acha kumkashifu,mleta mada kazungumza aliyoyaona ambayo kwenye familia nyingi za ki Tanzania sio Jambo la kawaida ndio...haya tuanze na Wewe unaedai hii Ni kawaida na Wewe Ni mjanja sio mshamba,nyumbani kwako fridge yako imejaa kila Aina ya kinywaji?una Savana, Heineken,locol beers,wines,soda na Whiskey za Aina mbalimbali?Vodka?jibu UKWELI wako hapa....acha kurahisisha mambo,tukubali tukatae wanasiasa wanatumia Kodi zetu kujinufaisha wao na familia zao
 
Back
Top Bottom