Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

Njaa itakuuwa, kwahiyo wew chamaana uliona misosi tu?, labda hukuona chanzo chochote cha kukumotivate nawew ufikr alipo? Ama kitabu chochote cha maana? Ama basi hukupata fununu za siri za mafanikio yake? Ama basi hata connection?

Hovyo kabisa ama kwel masikin watabaki kuwa masikini, vyakula na vinywaji nowdays ni kawaida kujaa majumbani hata kwa family za kawaida, njoo huku mtaan majobless kibao tu lkn mageto hakupungukiw mazaga ya maana.

Fungua akili kijana umechezea fursa mjinga wew
Heeee..... Sasa mbona hii jazba?
 
Hata makonda alianza hivi hivi, mwisho mikao ya kujibinuabinua ikawa ndio style zake [emoji276]
Kama huu?
JamiiForums-539065051.jpg
 
Chuo nilisoma na mtoto wa waziri mstaafu....aisee nilienjoy maisha....mawaziri wana hela nyingi sana
 
Jamaa ukicheki kwenye frji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo.

Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu

Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
...Hata Usafi ni Mpaka uwe Waziri??
 
Acha kumkashifu,mleta mada kazungumza aliyoyaona ambayo kwenye familia nyingi za ki Tanzania sio Jambo la kawaida ndio...haya tuanze na Wewe unaedai hii Ni kawaida na Wewe Ni mjanja sio mshamba,nyumbani kwako fridge yako imejaa kila Aina ya kinywaji?una Savana, Heineken,locol beers,wines,soda na Whiskey za Aina mbalimbali?Vodka?jibu UKWELI wako hapa....acha kurahisisha mambo,tukubali tukatae wanasiasa wanatumia Kodi zetu kujinufaisha wao na familia zao
Acha povu nilichoongelea na ww unachoongelea pia ni vitu tofauti sio lazima ujue content la fridge langu ila naweza ridhisha nafsi yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaona hvyo vinywaji ulivyotaja ndo ukomobwa uelewa wako dah umaskini ni kama ulemavu tujiepushe nao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom