Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Sasa leadermoe soma nilichoandika nimesema neno gani baya. .

Kwamba wewe ukiwa uko busy unatoa taarifa au? Watu wanalalamika hapo chini nimesema ana mambo yake. Au bado umeweka moyoni ya jana ndugu yangu?

Samahani sana aisee inaonekaka nimekukwaza sana. Maisha mafup haya sipendi nimkwaze mtu. .
🙏
 
SteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.

Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.

I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.

Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.

Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
Uko sahih hyu kijana kajawa kibrii tu kama umughaka shenzi zao wote

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Hi story inakwenda kwa Kasi sna mkapumue huko na kina yunge
Acheni kumlilia huyu faraaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
SteveMollel yupo group la michezo live updates za Simba Vs Raja.

Sheria iwekwe story yoyote isiwekewa muendelezo Kwa Zaid ya siku mbili bila taarifa yoyote kutoka Kwa mwandishi ifutwe.

Mtu hajafuatwa inbox kuombwa asimlie story yake iweje aanze kuileta hapa wakati hajaikamilisha? Kwa nini asiandike mdogo mdogo kwenye kifaa chake kisha ikikamilika ndo aanze kuitupia mdogo mdogo ?

Au lengo la SteveMollel ni kutaka thread yake kupata replies nyingi?

Kama ndivyo ni vyema akasema atakuwa anaweka post siku ipi na ipi ndani ya wiki. Lakin yeye alisema atakuwa anapost kila siku

Kusema labda ametingwa na kazi Sawa lakin mbona yupo majukwaa mengine?
 
SteveMollel yupo group la michezo live updates za Simba Vs Raja.

Sheria iwekwe story yoyote isiwekewa muendelezo Kwa Zaid ya siku mbili bila taarifa yoyote kutoka Kwa mwandishi ifutwe.

Mtu hajafuatwa inbox kuombwa asimlie story yake iweje aanze kuileta hapa wakati hajaikamilisha? Kwa nini asiandike mdogo mdogo kwenye kifaa chake kisha ikikamilika ndo aanze kuitupia mdogo mdogo ?

Au lengo la SteveMollel ni kutaka thread yake kupata replies nyingi?

Kama ndivyo ni vyema akasema atakuwa anaweka post siku ipi na ipi ndani ya wiki. Lakin yeye alisema atakuwa anapost kila siku

Kusema labda ametingwa na kazi Sawa lakin mbona yupo majukwaa mengine?
Yn watu tunasubiri weeeee, sijui kwa nn anachelewesha
 
SteveMollel yupo group la michezo live updates za Simba Vs Raja.

Sheria iwekwe story yoyote isiwekewa muendelezo Kwa Zaid ya siku mbili bila taarifa yoyote kutoka Kwa mwandishi ifutwe.

Mtu hajafuatwa inbox kuombwa asimlie story yake iweje aanze kuileta hapa wakati hajaikamilisha? Kwa nini asiandike mdogo mdogo kwenye kifaa chake kisha ikikamilika ndo aanze kuitupia mdogo mdogo ?

Au lengo la SteveMollel ni kutaka thread yake kupata replies nyingi?

Kama ndivyo ni vyema akasema atakuwa anaweka post siku ipi na ipi ndani ya wiki. Lakin yeye alisema atakuwa anapost kila siku

Kusema labda ametingwa na kazi Sawa lakin mbona yupo majukwaa mengine?
Navoona hata ile ya Goba haijaisha
 
SteveMollel yupo group la michezo live updates za Simba Vs Raja.

Sheria iwekwe story yoyote isiwekewa muendelezo Kwa Zaid ya siku mbili bila taarifa yoyote kutoka Kwa mwandishi ifutwe.

Mtu hajafuatwa inbox kuombwa asimlie story yake iweje aanze kuileta hapa wakati hajaikamilisha? Kwa nini asiandike mdogo mdogo kwenye kifaa chake kisha ikikamilika ndo aanze kuitupia mdogo mdogo ?

Au lengo la SteveMollel ni kutaka thread yake kupata replies nyingi?

Kama ndivyo ni vyema akasema atakuwa anaweka post siku ipi na ipi ndani ya wiki. Lakin yeye alisema atakuwa anapost kila siku

Kusema labda ametingwa na kazi Sawa lakin mbona yupo majukwaa mengine?
Uyu ana pozi tu maana story yote kashasimuliwa
 
Mimi tangu yule mshamba mugaka aanze kuringa kuleta episodes nimekuwa na tabia yangu unique, story ikiletwa siishobokei mpaka ifike mwisho na mimi ndio naanza kuisoma taratibu ili kuepuka alosto za kijinga.
 
Back
Top Bottom