Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

Sasa wewe katika kufanya uchunguzi wako huo ulitegemea familia za hao panyaroad wakwambie walikuwa ni wezi? Acha kwanza polisi wafanye kazi yao la sivyo hao vibaka mtawapa nguvu ya kurudi upya maana wanatetewa, huu sio muda muafaka wa kuongea haya.
Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Police puuzeni kelele hizi za wachache endeleeni na zoezi la kuua hawa viroboto na mapanya, tena msirudi nyuma wala msipoe mmezoeleka mno hadi raia hawana uwoga teketeza hao vibwengo panya buku wote
Mwanamaiche,,,Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Cha msingi polisi wasioneee mtu,kama ni Panyaroad amalizwe tu Hawa watu ni tatizo
Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam na kamanda wa kanda maalum ya Dar Es Salaa kuna siku lazima washitakiwe kwa makusudi kuvunja katiba ya nchi na kuvunja haki za binadamu. Kuna tofauti gani kati ya wananchi wenye hasira kali na polisi wenye wajibu wa kulinda raia na mali zake? Panga na mshale inaweza ikajibiwa kwa risasi ya moto?

1. Mkuu wa mkoa Dar
Kamanda kanda maalum ya Dar
3. Kamanda wa upelelezi kanda maalu ya Dar
4. Waziri wa mambo ya ndani

Hao watajwa hapo juu hata ikichukua miaka kumi mbele watakuja kushitakiwa kujibu ni nani aliwapa mamlaka ya kuua raia aisye na silaha inayozidi bunduki. Hata huko Serengeti haiwezekani raia akamiliki silaha ya G3, hiyo ipo jeshi ya ulinzi na JKT pekee. Kila silaha huwa ina namba tambuzi je, silaha hiyo ni ya Tanzania au imepatikana kwa wakimbizi na ilifikaje Mara, Serengeti wakati haina mgogoro wa kivita na mipaka ya Kenya?

Yanayosemwa na wananchi yapuuzeni tu majuto ni mjukuu.
Sahihi kabisa
 
Issue kubwa hapa ni kwamba polis wana uhakika gani waliomuuwa ndiye alifanya uhalifu huo wa kuiba, kujeruhi na hata kuua.
Yaani polis nao wanauwa tu kitu ambacho hawaruhusiwi kwani wanalazimika kisheria kuwapeleka mahakamani.

Inavyoonekana wengi humu moja kwa moja akamatwaye na polis tayari ana makosa.

Mbona watuhumiwa wengine huwapeleka mahakamani? Siwangekuwa wanawahukumu wao tu na kuwapeleka jela kama wanao uwezo huo kisheria?

Watz hebu tujaribu kufikiri masuala haya kwa kufuata misingi ya Sheria.
Vile ni vyombo vya Dola mkuu.
Kama unabisha subiri siku Panya Road wawe wengi na wafanye matukio mfululizo halafu Jeshi lichukue nafasi ya kulinda amani ndio Utajua Nini maana ya Dola.
Jeshini jambo la muhimu ni kutumia silaha Kwa kulenga kichwa.

Panya rod ni hatari sana mkuu. Wasikie TU Kwa mbali. Achana na watoto walioamua kuua watu. Hata kwenye vita vya waasi wanatumia Vijana wadogo kupambana na Majeshi ya serikali na kufanya uvamizi na uasi Kwa sababu wanajua watoto wadogo wakishika silaha wanajua kuua TU hawajui kuwa mtu amejisalimisha au la . Na hua hawaogopi kuuawa ndio maana wanavamia muda wowote bila kujali kuwa watakamatwa au laa.
Kwa hiyo kusema eti mpaka uchunguzi ufanyike ndio wakamatwe kama mwizi mmoja mmoja ni jambo gumu sana . Nchi itaingia kwenye machafuko makubwa .

Wale wangesalia miezi miwili ndio ingekua basi mana wangefikia wakati wapo kila mahali na wangekua Sasa wanapora maduka , masheli ya mafuta,super market n.k, Tena wakiwa Kwa Makundi. Wale ni Wahalifu wa kimakundi Kwa hiyo ni rahisi sana kuwabaini anapopatikana mmoja.
Na watanzania wanadhani nchi yetu Haina wataalam kwenye vyombo vya Dola. Wapo wengi na wanafanya kazi Kwa kushirikiana na wataalam wengine kubaini Wahalifu.

Haiwezekani mtu awe na rekodi ya uhalifu halafu wakifuatilia kisayansi kwenye mitandao aonekane alikua na ukaribu na Wahalifu kwenye tukio Fulani basi asikamatwe. Na akionekana mkorofi wakati wa ukamataji nadhani hakuna namna nyingine tusiwalaumu polisi ,tuwalaumu Panya rod.

Tunaomba wapelekwe mahakamani wale njuka wanaojifunza uhalifu lakini wazoefu Kwa kweli ni kuwapa lawama Polisi Bure . Hapana Hawa ndio waliosababisha Kodi zetu zikatumika Kununua Bunduki za kuua binadam na sio dawa ya mbu.
 
Abduli Nondo a.k.a Mwalimu na wakili wa Panya Road na wewe ni lofa .
Unacheza na amani ya nchi.
Halafu uko kwenye Chama Cha kijamaa. Unawezaje kujenga ujamaa na Wahalifu.

Polisi Kwa raia wema ni wastarabu sana. Tena siku hizi wanakupigia simu au kukupelekea barua kupitia mtendaji. Unaenda Kistarabu mwenyewe kituoni.

Kwa hiyo ukiona Polisi wametoka kituoni na kukufuata ujue wanataarifa zote za uhalifu. Kwa hiyo wanakuja Kwa tahadhari zote ulijaribu kuzingua wanakuzingua.


Lakini pia wewe ni mtanzania asiyefaa kabisa yaani ni Msaliti. Na dawa ya Msaliti ni Moja TU. Wanaokua kwenye vita dhidi ya panya road wanajua dawa ya Msaliti hivyo Huyo Nondo sijui Nunda anapaswa kupewa dawa yake.
Hawa akina Nondo wakiachwa ndio watakaoleta uhalifu na mauaji ya wafanyakazi wa mabenki , Wasafiri kama kule kwao Burundi wanavyopora wasafiri kwenye mabasi. Huyu Nunda na ndugu zake Kule Burundi waliwaua sana watanzania miaka ya 2000 mpaka 2010 Kwa kuvamia mabasi kule Kagera na Kigoma . Kwao huyo mpuuzi uporaji ni kazi halali hivyo hatuna haja ya kumsikiza.

Wewe na wanaharakati washenzi kama wewe kama wanaweza kufanya uchunguzi Kwa Polisi basi ni wahuni mana wanashindwa kuchunguza Wahalifu halafu wanaweza kuchunguza Polisi. Wachunguzeni Wahalifu ili muwabaini Kisha Polisi watawakamata na kuwapeleka mahakamani . Lakini wewe na wahuni wengine mnashindwa kutumia ujuzi wako wa uchunguzi kuwabaini Wahalifu halafu inakuja kulia lia hapa.

Panya road wasipoacha uhalifu wataendelea kuliwa kichwa TU na mwishowe wakili wao Nondo naye naye atakula chuma TU mana hakuna namna nyengine
Kaka , Ahsante kwa kunishambulia ila hoja yangu ipo very clear sitetei na sitawahi kutetea uhalifu, hata ukisoma nilichokiandika .Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Upelelezi ni pamoja na Jina LA muhalifu kuwa na kesi au mashauri mengi ya kihalifu katika vituo mbalimbali na kufungwa jela zaidi ya Mara 3-4,bila mtuhumiwa kukoma KUFANYA uhalifu.,ndio maana nikasema probably wengi hao huwa ni wahalifu sugu,wasiotaka kubadilika hata baada ya kufunzwa na serekali.
KUYAFUGA MAJITU SUGU NI HATARI KUBWA NA USUMBUFU MKUBWA KWA SIKU ZA USONI.
N.b,-Acha kutukana bila hawa ndugu zetu hata usingizi wako pengine ungekuwa mashakani.
Hata kama tuseme ni wahalifu, mamlaka ya Polisi kuwapiga Risasi Watuhumiwa wa uhalifu mamlaka hayo wameyatoa wapi?. Mnatetea ExtraJudicial Killings
 
Nina mashaka humu kuna majambazi.
Au kuna watu hawajawahi kukutwa na dhahma za vitendo vya kihalifu wakawaona jinsi madogo wakishavuta mabangi na ugoro jinsi wasivyo na huruma,huku tabata kuna mama mjamzito aliwahi kufyekwa mimba kwa upanga,dada wa watu akajifia bila sababu.
Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Umeandika yote Ila sijaona sehemu umesema kuwa umewahoji Majirani na wanasemaje kuhusu Hao waliouawa!

Lete interview ya Majirani tuone wanasemaje!

Unadhani mzazi anaweza kukiri mwanae ni panya road ?

Halafu mbona majuzi kuna Panya road kauawa na raia Manzese hujaifuata familia yake kuwahoji na uanze kukemea raia kuchukua hatua za kisheria mkononi.


Tunajua police Wana mapungufu Yao, tuwakemee. Ila Kwa hili la Panya road hapana kabisa Acha hawa vijana walambwe Shaba!

Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Ndiyo maama watu walilalmikia teuzi za Wambura na Kingai kuwa IGP na DCI. Historia zao toka wakati wa JPM si nzuri.

Mikono ya SSH imeshachafuka kwa damu za watu wasio na hatia.

Hii damu itamlilia, sidhani kama damu hii itamuacha salama!.Mikono yake imeshaloa damu!
Acha utani mkuu.

Kagame ameipa heshima kubwa Rwanda kitaifa na kimataifa mpaka wakimbizi wa Kizungu wanakimbilia Rwanda Tena Kwa kulipia .
Yote hayo ni Kwa sababu ya kutumia vizuri bunduki kudhibiti Wahalifu.

Huu uhalifu unaoumgwa mkono na ACT Panya rod una mtandao mkubwa mpaka wa ugaidi. Walitaka TU pa kuanzia.
Hawa walitakiwa wakusanywe mahali pamoja waingizwe kwenye tanuru la kuchoma mkaa.

Amani haiji ila Kwa ncha ya upanga.

Mama Samia hajashika bunduki Bali ana vyombo vya Dola alivyovikuta vikiwa vinalinda nchi Kwa kutumia bunduki za moto. Alivikuta tangu anazaliwa.
Kusema Kuwa eti mikono yake inanuka damu ni jambo lisilofaa kabisa na ni kejeli kwa Taifa letu.
Wahalifu wakishirikiana ACT Panya rod walitaka kulivuruga Taifa.
Mama yetu chapa kazi. Kazi ya majeshi yetu ni kulinda raia wema kwa gharama yoyote.
 
Issue kubwa hapa ni kwamba polis wana uhakika gani waliomuuwa ndiye alifanya uhalifu huo wa kuiba, kujeruhi na hata kuua.
Yaani polis nao wanauwa tu kitu ambacho hawaruhusiwi kwani wanalazimika kisheria kuwapeleka mahakamani.

Inavyoonekana wengi humu moja kwa moja akamatwaye na polis tayari ana makosa.

Mbona watuhumiwa wengine huwapeleka mahakamani? Siwangekuwa wanawahukumu wao tu na kuwapeleka jela kama wanao uwezo huo kisheria?

Watz hebu tujaribu kufikiri masuala haya kwa kufuata misingi ya Sheria.
Ahsante brother, Buruta.
 
Haidhuru basi polis wanapowauwa washukiwa wa panya road wangekuwa wanataja vifungu vya Sheria vinavyowapa uwezo kufanya hivyo.
Najua Kuna watu watakuja hapa na hoja ya kijinga kama: 'Kwani wao panya road wanatumia vifungu gani vya Sheria kuua'.
Hoja za kijinga sana hizi kwani wahalifu huwa hawafuati Sheria yoyote lakini polis analazimika kufuata Sheria.
Great
 
Inaonyesha wewe kwa WELEDI Wako Wa sheria na kujieleza, ndio mmiliki wa Makundi Yote haya ya Panya Road kwa maana walisema wengi wakikamatwa walikuwa wanaachiwa kwani kuna watu wajuzi wa kuwasemea, kumbe ni wewe!! Anyway, mi ningekuona una busara kama ungeenda kwanza kuhoji familia za wahanga waliouliwa, kukatwakatwa viungo, na wengine kupata vilema vya maisha sambamba na kudhulumiwa mali zao wazi wazi tena kwa matukio ya kutamba na kufanya watakacho, Leo unakuja hapa kufuatilia majambazi wenzako ili kudhoofisha hii oparesheni ili uendelee kupokea mali za wizi na kuleta taharuki kwa wakazi wa Dar!! Hovyo kabisa wewe
Kaka , Ahsante kwa kunishambulia ila hoja yangu ipo very clear sitetei na sitawahi kutetea uhalifu, hata ukisoma nilichokiandika .Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Uzuri Kwa Sasa Polisi Wana teknolojia kutoka Marekani ,China, na Israel Kwa hiyo hata Hawa Panya rod. Humu watasakwa TU mana wanahamasisha uhalifu na kuzua taharuki kuwa Polisi wameua watu wengi na upumbavu Mwingine
 
Ninawasiwasi na huyu Nondo yawezekana nae ni mhalifu au anawafadhili hawa panyarodi
Jeshi la polisi hebu mwekeni sehemu salama huyo Nondo ili mjiridhishe kwanza anamaslahi gani na hao panyarodi mpaka awatetee na picha ajipige?,kwenye suala la amani tuache siasa pembeni huyu Nondo akiendelea please jeshi la polisi msiome muhari mkamayeni huyu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sina Maslahi yeyote na Panya Road kaka ,na siwaungi Mkono ,na siungi mkono uhalifu wowote hata katika andiko hilo nimeandika.

Ahsante kwa kunishambulia ila hoja yangu ipo very clear sitetei na sitawahi kutetea uhalifu, hata ukisoma nilichokiandika .Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Hujakuta nao wewe hao vijana wa kazi, usiombe, hilo wazo lako la kisheria hutoliongelea kamwe, acha ujinga
Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
kumjibu mtu kama wewe ni kupoteza muda. Kama umewahi kuathirika kweli na hizi mambo huwezi kuandika huu upuuzi wako. yan polisi waruke nyumba 100 wamfuate mtu tena na mjumbe afu asiwe mhalifu, hebu ficha ujinga wako.
kwahiyo unataka wafanywe nn? waendelee kupelekwa jela tu. hivi unaweza kumuambia mama wa yule binti aliyeuawa hiki unachokisema hapa? yan wao waue iwe sawa akiuawa mnakuja kujaa humu kutetea. acha ujinga tena nyamaza.
Nchi yetu Ina katiba ,sheria za mienendo ya Makosa ya jinai ,PGO,Kanuni za Jumla za Adhabu sheria zote hizi zimeweka utaratibu wa kushughulikia makosa ya uhalifu .

Hakuna sehemu Polisi amepewa mamlaka ya kuuwa mtu kama njia ya kupambana na uhalifu , Polisi wamepewa wajibu wa kuchunguza na kupeleleza sio kuhukumu kwa kupiga mtu Risasi ni Mahakama tuu ndiyo yenye jukumu la kutoa adhabu iwe ni adhabu ya kifo ,kifungo Cha maisha au miaka yeyote hayo hufanywa na Mahakama. Mimi unanishambulia Nina taka Sheria tulizojiwekea tuzifuate na kuziheshimu ,kama hatuzitaki zimepitwa na wakati ktk kupambana na uhalifu tuzibadili, kwanini tuzivunje ???


Ndio maana tuna sheria,katiba , kanuni na taratibu zimeweka utaratibu wa namna ya kupambana na uhalifu .

Ndio maana kuna Mahakama siku zote , ingekuwa Polisi wanaaminika kwa kila Uchunguzi au upelelezi wao kungekuwa hakuna haja ya Mahakama kupima ushahidi na kila siku Polisi wangekuwa wanashinda kesi , ndio maana kuna Mahakama ,ni muhimu sana Ndugu zangu uhalifu ukapambanwa kwa mujibu wa sheria,kama sheria zetu hazifai kupambana na uhalifu tuzibadili ila sio kuzikeuka kwa kumuuwa na kumpiga Risasi Mtuhumiwa.

Hata hao Panya Road wanaofanya uhalifu sheria zipo wakikutwa na hatia wanaadhibiwa sawa na sheria inavyosema kuna kifungo adhabu ya kifo , kifungu cha maisha ,miaka 30 na adhabu zingine . Kwanini wasishtakiwe kwa mujibu wa sheria wajibu wa Polisi ni kufanya upelelezi na uchunguzi kuisaidia Mahakama kufanya maamuzi sio kuuwa watuhumiwa.

Kama tunaona hakuna haja ya kuchunguza na kushtaki Polisi washinikize sheria zibadilishwe ili iwe rahisi wao kufanya wanachokifanya , hakuna mtu anatetea wahalifu ,ninachotaka utaratibu ufuatwe ktk kupambana na uhalifu na kama sheria zetu ni Butu basi tuzibadili na sio Polisi kuchukua hatua ya kuuwa Watuhumiwa bila kuwapeleka mahakamani.
 
Back
Top Bottom