Rubbish! Polis wetu ni dhaifu sana kuchunguza ndo maana hutumia short cut kwani mahakamani watashindwa.
Baadhi ya Waafrika wanavinasaba vya nyani ndio maana hata Wakoloni walitutawala Kwa sababu ya mijitu yenye unyani.
Yaani minyani inawaza kila anachofanya mzungu ndicho sahihi.
Hujui ni Kwa Nini wazungu kwenye suala la ugaidi na uhalifu wanaikubali sana Tanzania. Na wanajipendekeza Kwa nchi yetu Kwa sababu wanajua Polisi ya Tanzania wanauwezo mkubwa sana kiuchunguzi.
Afrika nzima hakuna Polisi iliyofanikiwa kupambana na uhalifu Kwa asilimia mia Moja lakini Tanzania Kwa kiwango Cha juu wameifanya nchi hii inakalika vizuri na amani Bado ipo .
Kuwatukana Polisi ni kudharau ndugu zetu na kutukuza Ulaya bila kuangalia mazingira yalivyotofautiana.
Siasa uchwara ni tatizo sana.
Hawa wanaotukana mpaka majeshi yetu ni watu wenye Nia mbaya
Na wameanza chokochoko Kwa sababu maadui wa nje wamewekeza sana Afrika ikiwemo Tanzania. Pesa za Magaidi zimeanza kuingizwa Kwa wingi sana Afrika, pesa za mabeberu na mashoga zinaingizwa sana Afrika, pesa za wanaovuruga amani Kwa kutumia Watu kama akina Nondo zimeanza kumwagwa Afrika.
Pesa za mashirika ya kutetea Majizi zimemwagwa kila mahali.
Ni juu ya Watanzania wapenda amani kujitafakari ama wadharai vyombo vyao vya Dola na kuwakatisha tamaa Kwa sababu ya wapumbavyo na wahuni wasiojua umuhimu wa amani Kwa sababu ya pesa wanazopewa na Magaidi na mabeberu wahuni wenzao au waache Majeshi yetu yafanye kazi zao kutokomeza uhuni na wahuni Kwa namna yoyote.
Hata hakimu akiporwa na Panya rod hua anakimbilia Polisi. Hata Juji analindwa na Polisi aliyebeba bunduki sio aliyebeba kitabu Cha SHERIA . Kwa Nini Juji alindwe na Bunduki. Kwa Nini asilindwa na mikono kalamu mkononi na vifaa TU Vya kiuchunguzi . Bila shaka ni ili ukimsogelea ukiwa na kisu,panga,mshale ,bunduki na hata ukiwa na Nia ovu ya kumdhuru kimabavu basi utaliwa kichwa.
Mahakama ni sehemu ya Kistarabu Kwa wastarabu lakini Kwa wasiowastarabu hao Baraza lao ni muhimbili .
Ukiona Jambazi limesalia na kupelekwa mahakamani ujue Hilo limejisalimisha lenyewe.
Hata Huko nchi zilizoendelea mziki ni huo huo. Wenzetu hawana Muda wa Kucheka na Wahalifu wenye silaha.
Ndio maana hata Marekani na Washirika wake Wanapohisi Gaidi mmoja yupo kwenye nchi Fulani wapo tayari kuingia kwenye vita na kuua maelfu ya Watu wasio na hatia ilia kuhakikisha wanalimaliza Gaidi na kuwapa raia wa Marekani uhakika wa amani.
Utasikia Vichaa wakifarijiana sijui Nchi zilizoendelea vyombo vyo vya kulinda usalama wa nchi vinafanya kazi kuzingatia haki za binadam ! Ni malofa na wapumbavu. Hakuna nchi inayocheza na amani ikawa na amani. Angalia Afrika Kusini wanavyovuruga amani na maendeleo yao. Wanawatreat wahuni Kistarabu matokeo yake Wageni bila kuwa na hatia ,huku wanasiasa wakitumia vurugu kama mtaji wao.
Nchi za Magharibi na Sasa hata Urusi na hata Israel na nchi za kiarabu tunaona zinavyoweza kuvamia popote na kuua hata watu Elfu Moja wanapomsaka adui wa amani yao.
Huwezi kuwa na amani kama unalala hujui kuwa patakucha salama na mke wako na watoto na majirani.
Sinaga tabia ya kutetea Panya rod hata siku Moja. Watu wenyewe Wanajiita Panya rod,sijui mbwa mwitu .
Kule Tanga walikua wanawakaba watu alfajir muda wa Swala. Na wengine wanawalazimisha waumini asubuhi kuimba nyimbo za miziki ya Kidunia na kucheza. Polisi walipofanya Oparation zao walipunguza uhalifu na uhuni huo.