Nilowaita mimi wote wasafi.Sasa itakuwaje??
Mi hao wahuni siwataki wanaonekana wababe hawana ustaarabu.!!
Mwisho utaita majini ya kiume yaanze kukushika nyash [emoji2][emoji2]Uliwaita majini ya kike na upwiru wako, wamekuja kukuonyesha show unawafukuza [emoji81][emoji81][emoji81]
Dah.!! Nimecheka sana.!!
Ngoja nijaribu hiyo nione mijini ya kiume
Nilichagua kutumia Lugha ya kingereza kwa kuhofia labda kiswahili kinaweza sababisha nikaita vigagura au vibwengo vya kiswahili.
Kuhusu utajiri sifahamu MkuuUkitaka utajiri wanakupa?
sasa ulifanyaje mambo ya hatari hvo just for funny?Kuhusu utajiri sifahamu Mkuu
Nilijua ni hatari lakini niliamini sitokosea masharti na taratibu zake, pia nilijitahidi kuzingatia baadhi ya mambo ndyomaana hata madhara hayakuwa makubwasasa ulifanyaje mambo ya hatari hvo just for funny?
ngoja nidig in kuhusu hyo kitu, kama inaleta utajri fasta nakuchek niipate hyo boardNilijua ni hatari lakini niliamini sitokosea masharti na taratibu zake, pia nilijitahidi kuzingatia baadhi ya mambo ndyomaana hata madhara hayakuwa makubwa
Sio kweli labda kama hujui unafanya nini lakini Uija nimeanza kuitumia kama masihara miaka ya Tisini.Viumbe wabaya wapo sehem zote sio makaburini tu, hata nyumbani kwako waweza kuwa nao kama hauzingatii mambo ya kiusafi na maombi au ibada
Hakuna kiumbe au roho safi inayoweza kukubali kuitwa kwa njia ya OUJiA, labda njia nyingine lakini sio hiiSio kweli labda kama hujui unafanya nini lakini Uija nimeanza kuitumia kama masihara miaka ya Tisini.
Board zinauzwa Amazon, Ila utajiri sidhani kama inawezekanangoja nidig in kuhusu hyo kitu, kama inaleta utajri fasta nakuchek niipate hyo board
Kama hujui hujui OUIJA ni Mlango tu.Hakuna kiumbe au roho safi inayoweza kukubali kuitwa kwa njia ya OUJiA, labda njia nyingine lakini sio hii
Sawa huenda sijuiKama hujui hujui
Mkuu, ukifungua mlango unatakiwa uufunge.Sawa huenda sijui
Mashart yake yalikuwa yapiNilijua ni hatari lakini niliamini sitokosea masharti na taratibu zake, pia nilijitahidi kuzingatia baadhi ya mambo ndyomaana hata madhara hayakuwa makubwa
Damn!! Hapo kwenye tumbaku sijawahi kabisa, ila kwenye 1 na 2 ni ibada.Upo ila mashati yao ni matatu;
-Uwe haujazini kwa muda angalau miezi mitatu.
-Uwe hujatumia kilevi kwa muda wa miezi mitatu.
-Uwe hujatumia tumbaku pia kwa muda huo huo.
Kuweka mishumaa kila upande, kushika pointer kwa vidole viwili vya mkono wa kulia, kuweka udi kama upo itakua vizuri zaidiMashart yake yalikuwa yapi
Nadhani nilikosea kuufunga, ndyomaana nilirudi na kuuchoma motoMkuu, ukifungua mlango unatakiwa uufunge.
SawaKuweka mishumaa kila upande, kushika pointer kwa vidole viwili vya mkono wa kulia, kuweka udi kama upo itakua vizuri zaidi