Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Aliita jini gani hilo? Na hakujiandaa kisaikolojia kimtindo.

Hallelujah!!!
 
Alikutana na chuma 😹😹😹
Kuna binadamu wabishi kila kitu wanataka kujaribu
 
Je wana madhara wakiitwa? Wanapendelea nini sana sana. Vipi kuhusu sifa zao zikoje
Madhara hutokea pale ambapo muhusika atakosea baadhi ya taratibu. Kuhusu kupenda nini inategemea na aina ya jini, zipo aina nyingi na vitu vyao tofauti.

Baadhi ya sifa zao ni hawaonekani kwa macho, wanapenda harufu nzuri ya marashi, wanapenda kukaa chini ya meza au kitanda.
 
😹😹😹 Ulimkuta mzee angekuwa kijana angekuwasha kofi, hiyo Zay ingekuwa Zuchu
Alivosema ali mcomand kwa Sauti ya "Mamlaka za Juu" nikajua kataja kwa Jina la Yesu Tokaaaa, kumbe kuna sauti za mamlaka za juu nyingine Zay Zay Zay ambayo pia ilimuunguza huyo kiumbe.......🀣🀣🀣
 
Hauitaji ya board kuona spirit au ku interact nazo.. Ukiweza kufungua roho yako utaona mengi sana.. na utakuwa huna hofu
 
Alikutana na chuma 😹😹😹
Kuna binadamu wabishi kila kitu wanataka kujaribu
Alikua anasema alitokeza kutoka chini kuja juu kama kimondo halafu alirudi chini kuja kwenye sakafu huku akimfuata speed pale alipo.
Jamaa alisema alidimua mbio sio za mchezo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Na ukimkimbia anakupiga kama zongo unachanganyikiwa maana ni sawa na kumdharau.
 
Alivosema ali mcomand kwa Sauti ya "Mamlaka za Juu" nikajua kataja kwa Jina la Yesu Tokaaaa, kumbe kuna sauti za mamlaka za juu nyingine Zay Zay Zay ambayo pia ilimuunguza huyo kiumbe.......🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sauti za mamlaka zipo nyingi mwenyewe nimeshangaa hii.!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ufukunyuku wote ulimuisha shenzy zake.!!
Huyo inaonyesha alitaka utajiri akajua atakuja mrembo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…