Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Spirit inategemea na uzito uliyo nayo, spirit kukugeuka ni kukuweka mateka . Nakueleza hivi nimeona spirit nyingi sana, na kuna majira nilisha shuka hadi chini ya bahari.. chini kabisa nikaona some spirits
man!! how πŸ€”πŸ€”
 
Kitafute hicho kitabu , naona vile kama una maswali kuhusu dunia ya pili , ni cha mjerumani flani Gustav kitakupa "ufunguo" flani hivi kama unanielewa
Nitajaribu kuangalia kama kipo kwenye website ya PDF DRIVE
 
eeh
 
u
kuna spirit ilinichukua na kunipeleka.. huwezi ingia kwenye ulimwengu usio wako bila ataekutambulisha kwenye huo ulimwengu
naweza kudadavua zaidi ulianzaje,had kufikia hapo ulipo ulipitia mambo gani au sehem zipi? vipi kuhush manufaa kuna faida yoyote umepata kiuhalisia?
 
OhπŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Hizi siri usiziweke wazi hivi hivi , ila katafute kitabu cha "spirits of the deep" kama unataka kiumbe aje ana kwa ana , ina taratibu nzuri tu sema lazima uwe na roho ngumu sana , kiumbe huyo hataki uonyeshe uoga hata kidogo .
hahaha inataka roho thabiti na ngumu
 
Weeeh 😹😹😹
Mpe hi sana
A wife & husband visited a farm, they saw a bull making love with a cow. The wife asked the farm manager:

"How many times does a bull do this per day?"

Manager replied: "6 times or more a day".

Wife: looks at her husband and said....."you see!!!"

Then the husband asked the manager: "You mean 6 times a day with the same cow?"

Manager said " No, No, with different cows everyday."

Husband looks to his wife and says ..."you see!!!"

And they started fighting!!!

Who caused the fight??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tabia hazihusiani na haya mambo, ila unaweza kuingiwa na jini ukawa unapandisha mapepo kama wale watoto wa shuleni
Basi basi hayo mambo siyataki tena mimi. Kwa hiyo na wewe tayari una mapepo !?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…