Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Surah-iqra. Imefafanua vyema kwamba tusome ili tupate kujua yaliyomo kama yamo, na kweli ukisoma lazima utayaona na kufahamu mengi sana.Hazikupaswa kuwa Siri, ndymaana hata kwenye vitabu vimeandika. Ila uelewa mdogo na ukosefu wa imani ndyo tatzo watu hawazingatii.
Mbona hizo nguvu za giza waweza kuzikuta kila siku maishani kwako. Na zina nguvu.Kuogopa ni hali ya kawaida, Lengo lilitimia kwa kuona na kupata uhakika kama inawezekana au La...
Sijajaribu nikiwa sijui, nilifahamu vyema taratibu zake ila hofu na uoga ndyo vilifanya nisitishe.usijaribu Tena siku nyingine kufanya jambo hulijui utaondoka na roho yako. ππππ
Too late ushadanganya mapoyoyo tayari, sio? LolToo late
You Tube ipo kuanzia season 1 na kuendelea.In
Inapatikana wapi hiyo mkuu u tube au
Hilo ni kosa kuwa mwoga ndo maana nikasema don't try again. You will die forever my friend.Sijajaribu nikiwa sijui, nilifahamu vyema taratibu zake ila hofu na uoga ndyo vilifanya nisitishe.
Hao ni watu wenye sura za utu na roho za kishetaniMbona hizo nguvu za giza waweza kuzikuta kila siku maishani kwako. Na zina nguvu.
Tafuta tu watu wasio muamini Mungu, watu waongo, washerati, watu wenye husda, wauaji, wanaotamani nyumba au wake wa watu.
Wako wengi na wana roho mbaya zenye mwili.
Hizo roho zisizo na mwili ni cha mtoto.
Sahihi kabisa, na ukosefu wa elimu juu ya mambo haya ndiyo chanzo cha matatizoSurah-iqra. Imefafanua vyema kwamba tusome ili tupate kujua yaliyomo kama yamo, na kweli ukisoma lazima utayaona na kufahamu mengi sana.
Hallelujah!!!
Sawa master, sijaribu tena huo mchezoHilo ni kosa kuwa mwoga ndo maana nikasema don't try again. You will die forever my friend.
Kuna khudam wa aina nyingi mkuu.Kuna aina ya majini wanaitwa Ifrit.
Hawa wana nguvu bhana kuliko jamii nyengine za majini kwa sababu majini yamezidiana uwezo/nguvu.
Hawa wakikuvaa kuwatoa mtiti! Uende kwa mchamungu kweli kweli. Ukienda kwa mbabaishaji wansweza pita nayr naye kimasihara fulani tu mtu akawa kiziwia au kapooza baadhi ya viungo vya mwili.
Kama una makhudam yako yanaweza yakachinjiliwa mbali na Ifriti. ππππ
Mbali na hapo kama ukienda kwa waganga wataingia nao mkataba au utapatiwa Pete ya aina fulani ya kuivaa ili umdhibiti. Ukiivua tu unalo!
Sawa mkuu sina smart tv ntajaribu kwa simu niichek napenda sana kujifunza vitu vilivyojificha kama hivi ila tu iwe kwa nia njema.You Tube ipo kuanzia season 1 na kuendelea.
Ni show ya muda ila mpaka sasa bado inaendelea. Nilianza kuiangalia 2008 channel ya Sony (DSTV).
Ukitaka kuifaidi kama una smart TV connect kwenye TV and then uiangalie. Ina mpaka masaa mawili (2).
Shauri yako!Sema hapo walipokuvuta miguu inaonekana wababe sana.!! πΉπΉπΉ
Sasa mimi nataka niwaite niwahoji kuna vitu nataka kujua kutoka kwao
Acha utani kakaπππππππππ.Shauri yako!
Mimi namsaidia ndugu yangu Kosugi kujibu.
Huwa wanatumia mpaka simu (unaweza kudhani ni masihara fulani ila wanatumia). Isipokuwa namba zao hazina mpangilio kama wa kwetu (code zake).
Kuna mwamba alimwambia hivyo hivyo kuwa nataka kukuona! Kaamka usiku ghafla mkojo umembana kufika nje ya mlango wa chumba chake anamuona mtu kasimama kampa mgongo na ana nywele ndefuuu zinaburuzika mpaka chini. Halafu nywele nyeusiii. Jamaa alikimbia!
Sawa master, sijaribu tena huo mchezo
Mwanachama wa chama gani?kila la kheri mkuu mengine siruhusiwi kabisa kukuambia kwa sababu wewe sio mwanachama.
Mkuu hii ni Siri yangu binafsi kwa sababu nilichaapa kuwa siwezi kutoa Siri.Mwanachama wa chama gani?
Haya bhana ndugu yangu! Ila kuwa nao makini.Kuna khudam wa aina nyingi mkuu.
Khudam wa majina ya kijani ndio wana nguvu kuliko majini wowote na ni majini wa koo kuu za kifalme za kijini.
Mkuu kama huyu aswaarul kabiir akitia timu sio kibwengo wala ifrit anabaki hapo,Yani ni ana internal power ya ajabu acha.
Au wewe ndyo yule mzee Rockefeller ? πMkuu hii ni Siri yangu binafsi kwa sababu nilichaapa kuwa siwezi kutoa Siri.