Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Hahahaha!

Usiogope! Akifanya hivyo itakuwa kakupenda sasa! Na wakikupenda wale sahau mahusiano kabisa na binadamu wenzako.

Yaani hautoolewa!
😹😹😹 Si balaa zito hilo.!!
Sasa umesema wana harufu na wana maumbo ya kutisha. Itakuwaje??
 
Harufu mbaya au ya manukato
 
Mkuu, dunia Ina mengi jaribu kutembea na utazidi kuona mengi. πŸ˜ƒ
 
Biblia imejaa uwongo kama ww msema kweli mbona hujawahi kuwaambia kanisani kuwa kuna uwongo au uwongo wako upo kwa upande upande na kila jumapili unaenda kanisani kusikiliza habari za kutunga na hujawahi ongea
Umekubali kuwa wewe ni muongo case closed! Eti unajua hadi lucifer anafananaje?... bwana weeeeeeee
 
Ngoja nikuitie ndugu yangu Kosugi
Msaidie huyu bidada ili na yeye awaone kama wewe ulivyowaona kwenye yawmul beidh. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila yeye anawataka wa hela tu!
Kama anataka siku anialike kwake nimuitieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Ila yeye kusoma kiarabu hajui sasa.
 
Kumbe mna chama kabisa Huwa mnalala vizuri usiku?
Mkuu, usiku huwa tunalala Tena usingizi mzuri Sana ule usingizi wa amani na utulivu.

japokuwa usiku kuanzia saa 7 hadi saa 10 ni usiku utulivu ambapo maombi yako kiroho husikika vyema, na maombi yako inapendeza uwe msafi kimwili, uwe msafi kiroho na uwe tayari kutumikia nguvu za roho, uvae nguo Safi, uvae nguo nyeusi au nyeupe ikiwa ni ishara za kiroho katika nadharia kupitia rangi.

uwashe mwangaza wa mashumaa ikiwa ni ishara ya Nuru, kuomba kiroho upate kuangaziwa Nuru kiroho na nafsi.

tumia ua la rose kama ishara ya upendo katika nguvu za kiroho.
hii Ina nguvu kubwa kwani watu wa magharibi wengi hutumia kunena na kutumia picha na ya la rose katika mapenzi .

chama hiki ni kinataka uwe mkweli, mwaminifu, mtunza heshima, uvumilivu, karibu sana @Aalliyah katika chama huru chama chenye nguvu kubwa duniani, chama chenye kumfunza mtu nidhamu na uwazi, chama chenye utajiri bila ukomo. Fanya maamuzi yakinifu. Kila la kheri.
 
Mkuu, ni namna gani naweza kujiunga na hicho Chama chenu na je ni mambo yapi sintapaswa kuyafanya pindi nitakapokuwa mwanachama wenu, naomba kufahamu kama hutajali
 
Mkuu naomba unitumie pm hilo andiko kama hutajali
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„Mkuu HAPANA lina sharti lake sio la kutumwa hilo.
Naweza kukutumia mengine ila sio hilo kaka.
Kuna dizaini yake ya pili hilo unaweza kuligawa bila sharti ila sio hilo la kwanza.
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mkuu HAPANA lina sharti lake sio la kutumwa hilo.
Naweza kukutumia mengine ila sio hilo kaka.
Kuna dizaini yake ya pili hilo unaweza kuligawa bila sharti ila sio hilo la kwanza.
Mkuu tupeane mwanga na sisi tuyafahamu ya gizani yaliyo ulimwenguni,
 
Story yako iko real kabisa. The universe is real. Kwa ambao wameangalia movie za Insidious, Veronica na Talk To Me haya mambo yapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…