Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Usikute hata aliyeandika huu uzi sio wewe ni hao masharifu.
 
Sema hapo walipokuvuta miguu inaonekana wababe sana.!! 😹😹😹
Sasa mimi nataka niwaite niwahoji kuna vitu nataka kujua kutoka kwao
Aaaagh wee unaweza kufa ama kujikojolea.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Is not that simple maana kwanza wengi wao wakija huja na macho ya kijani sanaa ama blue sanaa,pia urefu wa futi 7 sio chini ya hapo.
Japo wanakuja wanavutia wowowo hiloπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Ila macho na urefu noop is such a fvcking disaster.
 
😹😹😹 kikubwa mi ndio nawamaster lazima wasikilize order kutoka kwangu, hiyo ya macho yao sijali..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…